Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 268,238
- 1,095,410
Leo alhamis
nikiwe anabishana na baba yake kuhusu ujio wa tyson na mkewe hapo penthouse,nikiwe anajitetea kuwa alijikuta kwenye situation ya kukubali mwaliko(inaonekana mke wa tyson hafaham uadui uliopo so walipoonana kwa bila kutegemea the duncan akamwambia niki wataenda kula dinner na kumuona linc hapo home)
Angie anabishana na calvin kuhusu ukaribu wake na dannie
Zukisa anaenda saloon kwa lerato kupaka rangi kucha pia anamwonyeaha bahasha alizochagua kuweka savings zake. Lerato anamkosoa na kumtaka kutumia pesa kwa uhuru kama kununua nguo au kwenda holiday,zukisa anamkatisha na kumwambia pesa ni zake atatumia atakavyo
Rajesh na barker wakiwa wanaongelea business na migomo ya wafanyakaz wao mara mke wa tyson anampigia simu barker na kumtaka wajadili biashara
Angie anamfata eddie kituon na kumtaka akae mbali na zamdela na mali zao maana kuanzia muda huo yeye ndie mwanasheria wao mkuu. Eddie ana mashaka kua angie atakua kwenye wakat mgumu(kutishiwa kitu na zamdelas) kias cha kukubal kuganya nao kazi
Calvin anaingia the rec na kumuona obakeng counter, kwa hasira akataka mfata ila eddie akamuwah na kumpa onyo la kutofanya fujo bali kuachia mamlaka zifanye kaz zao
Calvin kaenda hosp kumjulia hali dannie akamkuta dannie anakula chakula haraka haraka,calvin anamtania kuwa bado hajawa huru,katika maongez yao dannje anajjkuta anamention kuhusu prison break,angie anasikia na kutaka maelezo zaid ila calvin anaaga na kuondoka huku dannie akigoma kutoa ushirikiano.
Brad akiwa na maua anaingia rum kwa Tiffany ili kurudisha uhusiano ila bidada keshafungasha mizigo kwa ajili ya kuondoka na msimamo ni kuachana( tiffany hajiamin anahisi brad na charlie bado wana date,hasa alipogundua kuwa brad alimuuliza charlie kama ana date na skhu)
Lerato anamtoa out sechaba,kufika the duncan sechaba analalamika gharama za out hio ila lerato anamtaka waenjoy(nadhan sechaba hajui kuhusu pesa walizookota lerato na zukisa)
Calvin kurud home,angie anamwomba wamalize tofauti zao ili wasaidiane kumtoa jela dannie,na ana mpango nao ni dannie awatajie polisi na jail officers majina ya wafungwa wanaopanga kutoroka jela ili apate kamsamaha na kuwa huru,at first calvin anakataa ila baada ya muda anafikiria
Zukisa kamwita lerato the rec kujadili jins ya kutumia pesa na amepanga wafungue cafeteria
Calvin kaenda hosp kumshawishi dannie awataje wenzie wanaopanga kutoroka,dannie kagoma mpango huo. Calvin anaamua kuondoka wondin kisingizio ana kazi ya kufanya,dannie anamuuliza kama kaz hio ni revenge kwa aliemsababishia ajali
Charlie akiwa duncan anaonana na rajesh na kuchit chat kidogo mara Tiffany anatokea na mizigo yake,rajesh na charlie wanashangaa na kuuliza kulikon,Tiffany anamlaum charlie kwa kuvunja mahusiano yake kwa kumsaliti(anahisi charlie bado anadate na brad)rajeah anamtetea charlie ila Tiffany anaishia kumzaba kofi la shavuni charlie
Obakeng akiwa anafunga mlango nje ya home kwake ghafla anavamiwa na calvin na kupigwa,obakeng akiwa chini anaulizwa na calvin kuhus vitu vyake(kwenye gark kulikua na laptop,simu na kadhalika ambavyo calvin anahisi aliyechukua ni obakeng)
nikiwe anabishana na baba yake kuhusu ujio wa tyson na mkewe hapo penthouse,nikiwe anajitetea kuwa alijikuta kwenye situation ya kukubali mwaliko(inaonekana mke wa tyson hafaham uadui uliopo so walipoonana kwa bila kutegemea the duncan akamwambia niki wataenda kula dinner na kumuona linc hapo home)
Angie anabishana na calvin kuhusu ukaribu wake na dannie
Zukisa anaenda saloon kwa lerato kupaka rangi kucha pia anamwonyeaha bahasha alizochagua kuweka savings zake. Lerato anamkosoa na kumtaka kutumia pesa kwa uhuru kama kununua nguo au kwenda holiday,zukisa anamkatisha na kumwambia pesa ni zake atatumia atakavyo
Rajesh na barker wakiwa wanaongelea business na migomo ya wafanyakaz wao mara mke wa tyson anampigia simu barker na kumtaka wajadili biashara
Angie anamfata eddie kituon na kumtaka akae mbali na zamdela na mali zao maana kuanzia muda huo yeye ndie mwanasheria wao mkuu. Eddie ana mashaka kua angie atakua kwenye wakat mgumu(kutishiwa kitu na zamdelas) kias cha kukubal kuganya nao kazi
Calvin anaingia the rec na kumuona obakeng counter, kwa hasira akataka mfata ila eddie akamuwah na kumpa onyo la kutofanya fujo bali kuachia mamlaka zifanye kaz zao
Calvin kaenda hosp kumjulia hali dannie akamkuta dannie anakula chakula haraka haraka,calvin anamtania kuwa bado hajawa huru,katika maongez yao dannje anajjkuta anamention kuhusu prison break,angie anasikia na kutaka maelezo zaid ila calvin anaaga na kuondoka huku dannie akigoma kutoa ushirikiano.
Brad akiwa na maua anaingia rum kwa Tiffany ili kurudisha uhusiano ila bidada keshafungasha mizigo kwa ajili ya kuondoka na msimamo ni kuachana( tiffany hajiamin anahisi brad na charlie bado wana date,hasa alipogundua kuwa brad alimuuliza charlie kama ana date na skhu)
Lerato anamtoa out sechaba,kufika the duncan sechaba analalamika gharama za out hio ila lerato anamtaka waenjoy(nadhan sechaba hajui kuhusu pesa walizookota lerato na zukisa)
Calvin kurud home,angie anamwomba wamalize tofauti zao ili wasaidiane kumtoa jela dannie,na ana mpango nao ni dannie awatajie polisi na jail officers majina ya wafungwa wanaopanga kutoroka jela ili apate kamsamaha na kuwa huru,at first calvin anakataa ila baada ya muda anafikiria
Zukisa kamwita lerato the rec kujadili jins ya kutumia pesa na amepanga wafungue cafeteria
Calvin kaenda hosp kumshawishi dannie awataje wenzie wanaopanga kutoroka,dannie kagoma mpango huo. Calvin anaamua kuondoka wondin kisingizio ana kazi ya kufanya,dannie anamuuliza kama kaz hio ni revenge kwa aliemsababishia ajali
Charlie akiwa duncan anaonana na rajesh na kuchit chat kidogo mara Tiffany anatokea na mizigo yake,rajesh na charlie wanashangaa na kuuliza kulikon,Tiffany anamlaum charlie kwa kuvunja mahusiano yake kwa kumsaliti(anahisi charlie bado anadate na brad)rajeah anamtetea charlie ila Tiffany anaishia kumzaba kofi la shavuni charlie
Obakeng akiwa anafunga mlango nje ya home kwake ghafla anavamiwa na calvin na kupigwa,obakeng akiwa chini anaulizwa na calvin kuhus vitu vyake(kwenye gark kulikua na laptop,simu na kadhalika ambavyo calvin anahisi aliyechukua ni obakeng)