Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,802
- 71,229
Nimefadhaishwa sana kuona lile jambo lililokuwa likisemwa kuwa Vyombo vya habari vya IPP vimesusa kutoa habari za timu ya Simba hata pale inapo peperusha bendera ya Taifa nje kuwa ni la kweli.
Jana Simba imefanya jambo ambalo kila Mtanzania anapaswa kujivunia, lakini kwa namna ya ajabu sio ITV, magazeti yake wala Radio One ambao wamelipa hata kwa uzito mdogo jambo hilo. Jee hii ni kuwatendea haki wasikilizaji,watazamaji na wasomaji wenye kutaka kupata habari za Simba?
Jee wakati sasa umefika kwa wapemzi wa Simba nao ku Pay Back hujuma hizi za IPP kwa kususia kununua bidhaa zao,kutosikiliza au kusoma habari zinazotolewa nao? kutokupeleka matangazo ya biashara kwenye vyombo vyao?
Hatua hii inaweza kuwapa fundisho kuwa ugomvi wa mtu mmoja mmoja usiwe unaihusisha jamii nzima.
Imagine kama wapenzi wa Simba katika mechi yao ya marudiano wakija uwanjani na mabango yasemayo " KAMA UNAIPENDA SIMBA USINUNUE CHOCHOTE CHA IPP AU KUTANGAZA KTK VYOMBO VYAO" hali itakuwaje. Wadau mnasemaje kuhusu hili?
Jana Simba imefanya jambo ambalo kila Mtanzania anapaswa kujivunia, lakini kwa namna ya ajabu sio ITV, magazeti yake wala Radio One ambao wamelipa hata kwa uzito mdogo jambo hilo. Jee hii ni kuwatendea haki wasikilizaji,watazamaji na wasomaji wenye kutaka kupata habari za Simba?
Jee wakati sasa umefika kwa wapemzi wa Simba nao ku Pay Back hujuma hizi za IPP kwa kususia kununua bidhaa zao,kutosikiliza au kusoma habari zinazotolewa nao? kutokupeleka matangazo ya biashara kwenye vyombo vyao?
Hatua hii inaweza kuwapa fundisho kuwa ugomvi wa mtu mmoja mmoja usiwe unaihusisha jamii nzima.
Imagine kama wapenzi wa Simba katika mechi yao ya marudiano wakija uwanjani na mabango yasemayo " KAMA UNAIPENDA SIMBA USINUNUE CHOCHOTE CHA IPP AU KUTANGAZA KTK VYOMBO VYAO" hali itakuwaje. Wadau mnasemaje kuhusu hili?