bado ngoja nikazisome saa hii.....njoo basi hapa Calabash tubinjue w/end
welcome back swetie:A S 8:
bado ngoja nikazisome saa hii.....njoo basi hapa Calabash tubinjue w/end
Ha ha aaa!
Usinifanye nipaliwe na haya maji ya dhahabu, kwa kugeuza shingo kama feni mbovu. Nipo hapa kwenye kiwanja hiki hiki, kama vip nijulishe upo pande gani nikuchezeshee mvinyo.
Welcome back madame Preta.
hiyo umetoana nayo wapi tena huko...well nimeshahama niko brajec huku
thanks for caring dear.it is only for you....
kufashi ya kounteri....nimekula mini ya kufa mtu
Duh....wapwaz and binamuz niliwakosa mbaya kabisa....lakini natumaini wote mpo vizuri......:hug::hug::hug: