TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,892
- 11,289
sema wewe kiazi, nikisema mimi mhogo nina mizizi!!!!!!Una kesi ya kujibu na mimi personally!....Mashahidi ni Bwana Acid na MwanajamiiOne!
BTW, Karibu sana!..Habari za Yaeda ya juu?
sema wewe kiazi, nikisema mimi mhogo nina mizizi!!!!!!Una kesi ya kujibu na mimi personally!....Mashahidi ni Bwana Acid na MwanajamiiOne!
BTW, Karibu sana!..Habari za Yaeda ya juu?
aka belindaNilikukosa pia mkorea wangu welkam bak
Hivi ulitumia usafiri gani kwenda huko "Yaenda Juu"....Una kesi ya kujibu, kwa nini hukupitia mitaa ya "Yaenda Chini". He he he!.:smile-big:Duh....wapwaz and binamuz niliwakosa mbaya kabisa....lakini natumaini wote mpo vizuri......:hug::hug::hug:
kazi sana mdada kusawazisha maana naongoza nne bilatih tih....eehee....kazi ipo....ila nitasawazisha
Preta/..... Uko wapi?
Haya bana