Wapenzi kuoga pamoja

Wapenzi kuoga pamoja

stephot

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2012
Posts
17,746
Reaction score
27,214
Wadau,

Nimesukumiwa kesi na rafiki yangu wa karibu nikashindwa kuitolea suluhisho ndipo nimeamua niiweke humu jamvini tupeane mawazo. Alinitaarifu kuwa nyumbani kwake moto unawaka ana muda wa mwezi sasa hajapata unyumba kisa yeye binafsi hataki kuoga na mkewe. Anasema toka wameoana yapata miaka mitatu iliopita hawakuwa na huo utaratibu.

Lakini ghafla kuanzia mwanzoni mwa mwaka huu mkewe anataka wawe wanaoga wote kitu ambacho yeye hakiafiki kabisa, kikubwa ni kuwa hana sababu ya msingi ya kukataa zaidi ya kudai kuwa yeye hajazoea na hataki hilo jambo.

Sasa naombeni wadau mnipe mawazo ambayo yanaweza kumsaidia huyu bwana ili akubaliane na hiyo hoja ya mkewe na hatimaye apewe tena unyumba kwa faida yake mwenyewe. Kwa wale wajuzi wa haya mambo labda ingesaidia pia kama mtatuwekea uzuri na ubaya wa hili jambo kwa wanandoa au wapenzi.
 
Sasa kama hana sababu za msingi kukataa hilo kwanini akatae? Kuna ugumu gani ingali wanachunguliana na kukutanisha vikojoleo miaka yote!? Ataanzaje kuzoea hali hiyo ikiwa hataki tena bila sababu za msingi?

Kama anaipenda ndoa yake mwambie abadilike kabla hajasaidiwa kazi waziwazi
 
Huo muda wa kusubiriana kuoga pamoja uko wapi? Halafu ili iweje? Naona kama unakuwa yu usanii. Badala ya kufikiria ya msingi wanawaza kuoga pamoja hahaha. Dah shida tuuupuu
 
Hiyo ni njia nyingine ya kunogesha tena penzi kati yao baada ya kuanza kuota kutu, miaka mitatu mnaeeza mkawa mmeanza kuchokana!
Aoge nae tuu!
 
Nenda ww kaoge na mke wake then muombe 'unyumba' akikupa mwambie jamaa afate utaratibu huo
 
Hapo jamaa alijurupuka kuoa, hana yale mapenzi ya dhati kwa mkewe, huwenda ata sehemu ya siri ya mkewe hajui inafananaje, pia nahisi sababu nyingine jamaa anaona aibu wakati akiinama mkewe atamchungulia huko nyuma.
 
Labda bafu dogo au wanachangia na wapangiajii hhhaaaaaa
 
Wanaishi nyumba ya kupanga yenye bafu la passport size lililo nje nini?!!
 

Attachments

  • 1433266818917.jpg
    1433266818917.jpg
    55.5 KB · Views: 2,446
Akubali tu akaoge nae labda kuna sehemu anataka akamsugue
 
Wanaishi nyumba ya kupanga yenye bafu la passport size lililo nje nini?!!

Hapana mkuu wamejaliwa kuwa na nyumba yao wenyewe tena isitoshe wana bafu lao chumbani tofauti na vyumba vingine.
 
Miaka mitatu hawajawahi kuoga pamoja ghafla mamaa anahitaji waoge pamoja lazima kuna mtu alioga nawe akaonja raha ya kuoga na mwanaume chezea unasomea nje field unafanyia nyumbani
 
Hebu aoge nae huko, ni raha sn
 
Labda niulize, wakiwa wanado....huwa wanazima taa pia? Km hawez kuoga na mkewe inamaana ktk hiyo miaka mi3 sidhani km waliwahi ku-do na mwanga.
Mpeni ushauri, ni psychological issue ndogo tu na anaweza kubadilika.
 
Back
Top Bottom