Mimi ninapenda sana kula ugali, ninaweza kula chakula hiki siku saba za juma mradi tu nibadilishe kitoweo. Kuna wanaume nikiwaeleza mapenzi yangu kwa ugali wananiona mlugaluga.
Imebidi nipunguze ulaji wa ugali kutokana na issue za uzito wa mwili. Siku hizi ninakula ugali Jumamosi tu. Kuna wanawake wanaopenda kula ugali kama mimi?
Ile inaitwa mchopeke au ngalang'anyu mpungu ambao haujakauka sana, unakuwa wa kijani Michele wake wewe.Ni balaa Sky Eclat am sorry ntakula ugali nikiishiwa kbs.
Mimi ninapenda sana kula ugali, ninaweza kula chakula hiki siku saba za juma mradi tu nibadilishe kitoweo. Kuna wanaume nikiwaeleza mapenzi yangu kwa ugali wananiona mlugaluga.
Imebidi nipunguze ulaji wa ugali kutokana na issue za uzito wa mwili. Siku hizi ninakula ugali Jumamosi tu. Kuna wanawake wanaopenda kula ugali kama mimi?
Mie sio mwanamke, lakini nikuulize, unapenda ugali kweli au ugali mwingine? Maana bado kichwa kinanizunguka kwamba pamoja na mambo mengi na changamoto zinazoikabili nchi yetu leo wanawake waanze kuchangia kupenda au kutopenda kula ugali.
Then hii topic itawapeleka wapi wanawake, kuzalisha mahindi zaidi?
Ugali dona saiz ya ngumi yangu,pembeni nyama ya kukausha,mchicha/tembele,kachumberi iliokolea ndimu,mango chatne ama pilipili ya kupikwa,kipande cha tikiti na maji yenye ubaridi kwa mbaaali
Ile inaitwa mchopeke au ngalang'anyu mpungu ambao haujakauka sana, unakuwa wa kijani Michele wake wewe.Ni balaa Sky Eclat am sorry ntakula ugali nikiishiwa kbs.
Dawa ni kufanya mazoezi mkuu. Ugali una carbohydrates kubwa na hii isipotumika mwilini inabadilishwa kuwa mafuta ambayo yanahifadhiwa kwenye ini kwa matumizi yabaadae kama vile inacyoweka nafaka ghalani. Ukizidi kuyaongeza yanahifadhiwa katika sehemu nyingine za mwili kama tumboni ndiyo yanasababisha kitambi. Yakizidi sana yanashindana nafumo wa mwili wa kurekebisha kiwango cha sukari.