Wapenda ugali mpo?

Ugali niliokulaga enzi hizo boarding kwa miaka minne na maharaghe yenye wadudu umetosha kabisa. Yani sina hamu ya ugali kabisa.
Bora umesema kwel,,maana hakuna jins ya kukataa kule,utakula kwa lazima,sasa hvi oiga wali tu tena kwa nazi
 
Ugali m'baya bhana,kitu wali bhana!!!
 
Ugali na maharage pembeni nguru/papa ya kuchoma na nyanya chungu za kuoka
 
mie na ugali hapana!..ila nkienda kwa mtu nkakuta ugali ntakula.

Napenda viazi vitamu kwa karanga za kukaanga ama maziwa mgando.

hata mwaka mzima ntakula hivyo ila UGALI...hapana aseee
 
mie na ugali hapana!..ila nkienda kwa mtu nkakuta ugali ntakula.

Napenda viazi vitamu kwa karanga za kukaanga ama maziwa mgando.

hata mwaka mzima ntakula hivyo ila UGALI...hapana aseee
Wewe utakuw Msukuma
 
Wenzio wanatukimbia tukiwalisha ugali mfululizo eti tunawakomaza!
 

Mie sio mwanamke, lakini nikuulize, unapenda ugali kweli au ugali mwingine? Maana bado kichwa kinanizunguka kwamba pamoja na mambo mengi na changamoto zinazoikabili nchi yetu leo wanawake waanze kuchangia kupenda au kutopenda kula ugali.

Then hii topic itawapeleka wapi wanawake, kuzalisha mahindi zaidi?
 
tupo wengi kumbe, mi ninakula ugali siku 7 za juma na huula mchana tu.usiku ni mbogamboga au mtori.asubuhi ni matunda kwenda mbele
 
Asante kwa ufafanuzi mkuu
 
Ukipata Ugali, Dagaa nazi imekoleaaa ila lisiwe supu, Matembele kandimu kasisahaulike na Roast la bamia na nyanyachungu

Unashushia na maji ya bariiidiii au mtindi doh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…