Wapenda Mabadiliko wapo wapi?

Apr 27, 2006
26,588
10,375
- Ninashangazwa sana na the fact kwamba Waziri Wa Zanzibar amejiuuzulu kutokana na ishu mbili za ajali za meli katika uwaziri wake, lakini haina heshima wala praise kutoka kwa Wanaharakati kutoka chama chochote cha siasa nchini, wala NGOs! WHY?

- I mean responsibility ndio quality number one kwenye reforms, sasa leo ametokea kiongozi aliyefanya the impossible hakuna praise, sio kwa wanaharakati tu hata kwenye media hakuna, hakuna a word of courage toka kwa vyama vya upinzani, wala hata media coverage haikugusa sana the topic, that is very sad!

- Ninapenda kumpa salute Mheshimiwa Waziri kwa kitendo chake hicho cha kishujaa sana, kinatakiwa kuweka msingi wa uwajibikaji wa Viongozi wa juu katika taifa leu, ambao unaonekana kutokuwepo na kuwapa nafasi baadhi ya viongozi wetu kujifanyia tu wanavyotaka na siku zote kuishia kumpa taabu sana Rais wa Jamhuri kuvunja baraza zima la mawaziri, badala ya waziri mmoja aliyeharibu kujitoa mwenyewe kama huyu Shujaa aivyofanya!!

OUR MEDIA, WANAHARAKATI, NA WAPENDA MABADIIKO KWENYE HII MMEHARIBU SANA TUMPE WAZIRI HESHIMA YA AINA YAKE KUSUDI UWE MFANO KWA WENGINE!!

- MUNGU AIBARIKI TANZANIA!!

WILIAM.
 
- Ninashangazwa sana na the fact kwamba Waziri Wa Zanzibar amejiuuzulu kutokana na ishu mbili za ajali za meli katika uwaziri wake, lakini haina heshima wala praise kutoka kwa Wanaharakati kutoka chama chochote cha siasa nchini,....
-
WILIAM.
Kuna wanaharakati wa CCM?
Chadema?
TADEA?
NDP?
CCK?
Sjawasikia mimi hao watu.
Labda kwa wewe ni mwanasiasa enlighten us!
 
- Ninashangazwa sana na the fact kwamba Waziri Wa Zanzibar amejiuuzulu kutokana na ishu mbili za ajali za meli katika uwaziri wake, lakini haina heshima wala praise kutoka kwa Wanaharakati kutoka chama chochote cha siasa nchini, wala NGOs! WHY?

OUR MEDIA, WANAHARAKATI, NA WAPENDA MABADIIKO KWENYE HII MMEHARIBU SANA TUMPE WAZIRI HESHIMA YA AINA YAKE KUSUDI UWE MFANO KWA WENGINE!!

- MUNGU AIBARIKI TANZANIA!!

WILIAM.

William, waziri aliyeachia ngazi anatoka CUF, better late than never, watu walipiga kelele sana wakati wa ajali ya Spixe Islanders lakini hakuachiwa ngazi. Vifo north of 1200 bado akaukashusha then haya ya week iliyopita. As I said, better late than never, lakini alitakiwa kufanya hivyo kitambo.

Hapo kwenye red, wameishiwa nguvu, Mbagala, Gongo la Mboto, Spice Islander, again, mabasi ya mikoani hii imekuwa kama la kawaida!!!. Hii nchi kuna mambo ya kusikitisha, gari la rais linazimika kwa sababu ya mafuta yaliyochakuliwa (rais akiwa ndani ya gari) lakini hakuna mtu amewajibishwa!
 
Watu wanatuchukia, kutwa hawaishi kutuombea dua zote mbaya, wanatulaani na kutuita majina yote mabaya unayoyajua dunia bado tu tujipendekeze kwao!? labda wewe Willy sisi wengine hatuwezi kujipendekeza.
 
Ah zenji si hawataki muungano, hawatupendi watanganyika so hatuna habari nao, mi naona huyo waziri wao kujiuzulu ni sawa na nisikie waziri wa kenya kajiuzulu hainihusu lakini kama ulivyosema anahitaji pongezi japokua angeondoka mapema zaidi...na huyo mpaka amejiuzulu alikua hapati KULA ya kutosha..hawa wa kwetu hawaachii madaraka kwa sababu unakuta yuko kwenye system ya MLO sasa aachie madaraka afu mwenzake aje atafune alichojenga yeye
 
watu wanatuchukia, kutwa hawaishi kutuombea dua zote mbaya, wanatulaani na kutuita majina yote mabaya unayoyajua dunia bado tu tujipendekeze kwao!? Labda wewe willy sisi wengine hatuwezi kujipendekeza.

- great thinkers wanatakiwa kuwa bigger than that bro!!

Wiliam.
 
Tuna mambo mengi ya kufanya kwa manufaa ya nchi hii...
Watu wameandamana kushinikiza mawaziri wa Afya wajiuzulu,Mmewafungulia kesi. Wameandamana tena kushinikiza serikali kuchukua hatua juu ya madai ya madaktari, Mmewafungulia kesi. Wameandamana kupinga CDCF, mmewatukana! Wameandamana kutaka mabadiliko,Mmesema Intelijensia yenu hairuhusu!..
Sasa hivi unawatakia nini?
Acha unafiki Wille
 
Ifikie mahali watanzania tuamke na tutambue wajibu wetu na wa viongozi wetu. Hivi inaingia akilini eti KIONGOZI ALIYEJIUZULU KUTOKANA NA KUSHINDWA KUSIMAMIA DHAMANA YAKE apongezwe eti ni shujaa!!? KWELI????,my brother WILLIAM kama umejengeka katika misingi ya namna hiyo ya KUSHINDWA KUWAJIBIKA IPASAVYO THEN USIFIWE eti kwa UAMUZI MGUMU wa kujiuzulu ninaanza Kuutilia SHAKA kubwa WELEDI wako katika uongozi. Nadhani huyu waziri alikuwa anatakiwa kuwajibika ipasavyo na kuzuia maafa ya ajali hizi za meli.. Kiongozi anazembea kutekeleza majukumu yake afu tumpongeze kwa ushujaa wa kukubali kuwa alizembea, kweli WILLIAM?? na wewe ni kiongozi wa namna hiyo na unatamka haya hadharani brother!!!???? Nimeshangaa kauli hizi kutolewa na mtu wa namna yako kaka. WAITRESS two more please! Ì'M SICK
 
- Ninashangazwa sana na the fact kwamba Waziri Wa Zanzibar amejiuuzulu kutokana na ishu mbili za ajali za meli katika uwaziri wake, lakini haina heshima wala praise kutoka kwa Wanaharakati kutoka chama chochote cha siasa nchini, wala NGOs! WHY?

- I mean responsibility ndio quality number one kwenye reforms, sasa leo ametokea kiongozi aliyefanya the impossible hakuna praise, sio kwa wanaharakati tu hata kwenye media hakuna, hakuna a word of courage toka kwa vyama vya upinzani, wala hata media coverage haikugusa sana the topic, that is very sad!

- Ninapenda kumpa salute Mheshimiwa Waziri kwa kitendo chake hicho cha kishujaa sana, kinatakiwa kuweka msingi wa uwajibikaji wa Viongozi wa juu katika taifa leu, ambao unaonekana kutokuwepo na kuwapa nafasi baadhi ya viongozi wetu kujifanyia tu wanavyotaka na siku zote kuishia kumpa taabu sana Rais wa Jamhuri kuvunja baraza zima la mawaziri, badala ya waziri mmoja aliyeharibu kujitoa mwenyewe kama huyu Shujaa aivyofanya!!

OUR MEDIA, WANAHARAKATI, NA WAPENDA MABADIIKO KWENYE HII MMEHARIBU SANA TUMPE WAZIRI HESHIMA YA AINA YAKE KUSUDI UWE MFANO KWA WENGINE!!

- MUNGU AIBARIKI TANZANIA!!

WILIAM.

Tatizo lako unachanganya vitu viwili pamoja, siasa na celebrity, acha usharobalo!
Mtu amejiuzuru unataka apewe media coverage, are u out of ur mind? Watu kama ninyi ndo hatuwataki kabisa ktk siasa za nchi yetu maana kila siku mnataka sifa za kijinga sana
 
- Ninashangazwa sana na the fact kwamba Waziri Wa Zanzibar amejiuuzulu kutokana na ishu mbili za ajali za meli katika uwaziri wake, lakini haina heshima wala praise kutoka kwa Wanaharakati kutoka chama chochote cha siasa nchini, wala NGOs! WHY?

- I mean responsibility ndio quality number one kwenye reforms, sasa leo ametokea kiongozi aliyefanya the impossible hakuna praise, sio kwa wanaharakati tu hata kwenye media hakuna, hakuna a word of courage toka kwa vyama vya upinzani, wala hata media coverage haikugusa sana the topic, that is very sad!

- Ninapenda kumpa salute Mheshimiwa Waziri kwa kitendo chake hicho cha kishujaa sana, kinatakiwa kuweka msingi wa uwajibikaji wa Viongozi wa juu katika taifa leu, ambao unaonekana kutokuwepo na kuwapa nafasi baadhi ya viongozi wetu kujifanyia tu wanavyotaka na siku zote kuishia kumpa taabu sana Rais wa Jamhuri kuvunja baraza zima la mawaziri, badala ya waziri mmoja aliyeharibu kujitoa mwenyewe kama huyu Shujaa aivyofanya!!

OUR MEDIA, WANAHARAKATI, NA WAPENDA MABADIIKO KWENYE HII MMEHARIBU SANA TUMPE WAZIRI HESHIMA YA AINA YAKE KUSUDI UWE MFANO KWA WENGINE!!

- MUNGU AIBARIKI TANZANIA!!

WILIAM.

You mean he should be praised for fulfilling his minimum responsibility????? Please please be a bit serious........or you meant to be acknowledged for the sake of records???????
 
- Ninashangazwa sana na the fact kwamba Waziri Wa Zanzibar amejiuuzulu kutokana na ishu mbili za ajali za meli katika uwaziri wake, lakini haina heshima wala praise kutoka kwa Wanaharakati kutoka chama chochote cha siasa nchini, wala NGOs! WHY?

- I mean responsibility ndio quality number one kwenye reforms, sasa leo ametokea kiongozi aliyefanya the impossible hakuna praise, sio kwa wanaharakati tu hata kwenye media hakuna, hakuna a word of courage toka kwa vyama vya upinzani, wala hata media coverage haikugusa sana the topic, that is very sad!

- Ninapenda kumpa salute Mheshimiwa Waziri kwa kitendo chake hicho cha kishujaa sana, kinatakiwa kuweka msingi wa uwajibikaji wa Viongozi wa juu katika taifa leu, ambao unaonekana kutokuwepo na kuwapa nafasi baadhi ya viongozi wetu kujifanyia tu wanavyotaka na siku zote kuishia kumpa taabu sana Rais wa Jamhuri kuvunja baraza zima la mawaziri, badala ya waziri mmoja aliyeharibu kujitoa mwenyewe kama huyu Shujaa aivyofanya!!

OUR MEDIA, WANAHARAKATI, NA WAPENDA MABADIIKO KWENYE HII MMEHARIBU SANA TUMPE WAZIRI HESHIMA YA AINA YAKE KUSUDI UWE MFANO KWA WENGINE!!

- MUNGU AIBARIKI TANZANIA!!

WILIAM.


William,

..kwanza inaelekea alilazimishwa kujiuzulu.

..kumbuka mwanzo aligoma, na hata waziri Mwakyembe alimtetea wakati walipokuwa na joint press conference.

..jambo lingine uelewe kwamba waziri huyu amejiuzulu kutokana na uzembe ktk wizara yake ambao umesababisha mamia ya wananchi kupoteza maisha yao.

..wanaopaswa kupongezwa kwa kujiuzulu ni wale wanaofanya hivyo kwa kupinga ufisadi na uzembe ktk maeneo wanayoyasimia.

..kwa mtizamo wangu huyu waziri alipaswa kutimuliwa. hata ile kupewa nafasi ya kujiuzulu naona amefanyiwa hisani tu.
 
Tuna mambo mengi ya kufanya kwa manufaa ya nchi hii...
Watu wameandamana kushinikiza mawaziri wa Afya wajiuzulu,Mmewafungulia kesi. Wameandamana tena kushinikiza serikali kuchukua hatua juu ya madai ya madaktari, Mmewafungulia kesi. Wameandamana kupinga CDCF, mmewatukana! Wameandamana kutaka mabadiliko,Mmesema Intelijensia yenu hairuhusu!..
Sasa hivi unawatakia nini?
Acha unafiki Wille

- Only kama tungekuwa na huu utamaduni lakini kwa vie hatuna alitakiwa kupewa heshima flani, na it has nothing to do na unafiki waa anything!!

Wiilly!!
 
Tatizo lako unachanganya vitu viwili pamoja, siasa na celebrity, acha usharobalo!
Mtu amejiuzuru unataka apewe media coverage, are u out of ur mind? Watu kama ninyi ndo hatuwataki kabisa ktk siasa za nchi yetu maana kila siku mnataka sifa za kijinga sana

- Baada ya miaka 50 Ughaibuni, ni sawa kuwa na mawazo kama haya!!

Wiie!!
 
- Ninashangazwa sana na the fact kwamba Waziri Wa Zanzibar amejiuuzulu kutokana na ishu mbili za ajali za meli katika uwaziri wake, lakini haina heshima wala praise kutoka kwa Wanaharakati kutoka chama chochote cha siasa nchini, wala NGOs! WHY?

- I mean responsibility ndio quality number one kwenye reforms, sasa leo ametokea kiongozi aliyefanya the impossible hakuna praise, sio kwa wanaharakati tu hata kwenye media hakuna, hakuna a word of courage toka kwa vyama vya upinzani, wala hata media coverage haikugusa sana the topic, that is very sad!

- Ninapenda kumpa salute Mheshimiwa Waziri kwa kitendo chake hicho cha kishujaa sana, kinatakiwa kuweka msingi wa uwajibikaji wa Viongozi wa juu katika taifa leu, ambao unaonekana kutokuwepo na kuwapa nafasi baadhi ya viongozi wetu kujifanyia tu wanavyotaka na siku zote kuishia kumpa taabu sana Rais wa Jamhuri kuvunja baraza zima la mawaziri, badala ya waziri mmoja aliyeharibu kujitoa mwenyewe kama huyu Shujaa aivyofanya!!

OUR MEDIA, WANAHARAKATI, NA WAPENDA MABADIIKO KWENYE HII MMEHARIBU SANA TUMPE WAZIRI HESHIMA YA AINA YAKE KUSUDI UWE MFANO KWA WENGINE!!

- MUNGU AIBARIKI TANZANIA!!

WILIAM.

le mutuz , ndoto zako za kutafuna wema sepetu zimezaa matunda?
 
Back
Top Bottom