Precise Pangolin
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 12,998
- 6,659
Mkuu haya ni Maneno ambayo uliyowahi kusema humu JF " Ha! ha! ha! ha! huwa sisikilizi maushauri ya kunitaka niwe muoga muoga kama fisi, sikuogopa bahari bro miaka sita baharini, nimevuka Bermuda Triangle mara 3, mahali ambapo mabaharia huacha kazi wakisikia meli itaenda kupita hapo!
- Ninachosema humu JF, au mahali popote pale ndicho ninachokiamini, AND THAT IS ME, TAKE IT OR LEAVE IT kwangu mwendo ni mdundo sana mpaka kelewekes, nimesema huu mjadala ni tooo lowa kwangu hauna tija, sio Chadema wala mafisadi wanaoweza kumshinda kwa kura Mbunge wa sasa wa Same East, ningeamini otherwise ungeniona kwenye huu mjadala in full kama kawaida yangu!" ........ Sasa wewe Kama umekatiza barmuda triangle wakati wa kuzama kuopoa miili ulikuwepo kufanya hiyo kazi au Hilo limwili huwezi kuzamia tena?
- Ninachosema humu JF, au mahali popote pale ndicho ninachokiamini, AND THAT IS ME, TAKE IT OR LEAVE IT kwangu mwendo ni mdundo sana mpaka kelewekes, nimesema huu mjadala ni tooo lowa kwangu hauna tija, sio Chadema wala mafisadi wanaoweza kumshinda kwa kura Mbunge wa sasa wa Same East, ningeamini otherwise ungeniona kwenye huu mjadala in full kama kawaida yangu!" ........ Sasa wewe Kama umekatiza barmuda triangle wakati wa kuzama kuopoa miili ulikuwepo kufanya hiyo kazi au Hilo limwili huwezi kuzamia tena?