jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,558
- 25,323
- Ninashangazwa sana na the fact kwamba Waziri Wa Zanzibar amejiuuzulu kutokana na ishu mbili za ajali za meli katika uwaziri wake, lakini haina heshima wala praise kutoka kwa Wanaharakati kutoka chama chochote cha siasa nchini, wala NGOs! WHY?
- I mean responsibility ndio quality number one kwenye reforms, sasa leo ametokea kiongozi aliyefanya the impossible hakuna praise, sio kwa wanaharakati tu hata kwenye media hakuna, hakuna a word of courage toka kwa vyama vya upinzani, wala hata media coverage haikugusa sana the topic, that is very sad!
- Ninapenda kumpa salute Mheshimiwa Waziri kwa kitendo chake hicho cha kishujaa sana, kinatakiwa kuweka msingi wa uwajibikaji wa Viongozi wa juu katika taifa leu, ambao unaonekana kutokuwepo na kuwapa nafasi baadhi ya viongozi wetu kujifanyia tu wanavyotaka na siku zote kuishia kumpa taabu sana Rais wa Jamhuri kuvunja baraza zima la mawaziri, badala ya waziri mmoja aliyeharibu kujitoa mwenyewe kama huyu Shujaa aivyofanya!!
OUR MEDIA, WANAHARAKATI, NA WAPENDA MABADIIKO KWENYE HII MMEHARIBU SANA TUMPE WAZIRI HESHIMA YA AINA YAKE KUSUDI UWE MFANO KWA WENGINE!!
- MUNGU AIBARIKI TANZANIA!!
WILIAM.
Kwenye red,
kupongeza hakurudishi uhai wa watanzania uliopotea kwa guiltiness conscious kuwa alipaswa kuwa amefanya kitu kwa mujibu wa mamlaka aliyopewa, Pongezi za nini hapo¿
Hii ni tabia ya ccm kutaka kusifiwa hata kama wanatembea uchi,
kwa mwenendo wa akili yako sina shaka unajiandaa kuleta proposal tumsifu selemani kova kwa kumkamata joshua mkenya kwa tuhuma za kumteka dr. Uli, kutubu kwa gwajima, ghafla kukataa kwa pilato.
Bora ungeshauri tumlaani nyerere kwa kumpinga baba yako kuhusu tanganyika na G55 wenye kukerwa na kejeli za wazenji wangejadili kwa kujinafasi.