Wapenda Mabadiliko wapo wapi?

- Ninashangazwa sana na the fact kwamba Waziri Wa Zanzibar amejiuuzulu kutokana na ishu mbili za ajali za meli katika uwaziri wake, lakini haina heshima wala praise kutoka kwa Wanaharakati kutoka chama chochote cha siasa nchini, wala NGOs! WHY?

- I mean responsibility ndio quality number one kwenye reforms, sasa leo ametokea kiongozi aliyefanya the impossible hakuna praise, sio kwa wanaharakati tu hata kwenye media hakuna, hakuna a word of courage toka kwa vyama vya upinzani, wala hata media coverage haikugusa sana the topic, that is very sad!

- Ninapenda kumpa salute Mheshimiwa Waziri kwa kitendo chake hicho cha kishujaa sana, kinatakiwa kuweka msingi wa uwajibikaji wa Viongozi wa juu katika taifa leu, ambao unaonekana kutokuwepo na kuwapa nafasi baadhi ya viongozi wetu kujifanyia tu wanavyotaka na siku zote kuishia kumpa taabu sana Rais wa Jamhuri kuvunja baraza zima la mawaziri, badala ya waziri mmoja aliyeharibu kujitoa mwenyewe kama huyu Shujaa aivyofanya!!

OUR MEDIA, WANAHARAKATI, NA WAPENDA MABADIIKO KWENYE HII MMEHARIBU SANA TUMPE WAZIRI HESHIMA YA AINA YAKE KUSUDI UWE MFANO KWA WENGINE!!

- MUNGU AIBARIKI TANZANIA!!

WILIAM.

Kwenye red,
kupongeza hakurudishi uhai wa watanzania uliopotea kwa guiltiness conscious kuwa alipaswa kuwa amefanya kitu kwa mujibu wa mamlaka aliyopewa, Pongezi za nini hapo¿
Hii ni tabia ya ccm kutaka kusifiwa hata kama wanatembea uchi,
kwa mwenendo wa akili yako sina shaka unajiandaa kuleta proposal tumsifu selemani kova kwa kumkamata joshua mkenya kwa tuhuma za kumteka dr. Uli, kutubu kwa gwajima, ghafla kukataa kwa pilato.
Bora ungeshauri tumlaani nyerere kwa kumpinga baba yako kuhusu tanganyika na G55 wenye kukerwa na kejeli za wazenji wangejadili kwa kujinafasi.
 
- Ninashangazwa sana na the fact kwamba Waziri Wa Zanzibar amejiuuzulu kutokana na ishu mbili za ajali za meli katika uwaziri wake, lakini haina heshima wala praise kutoka kwa Wanaharakati kutoka chama chochote cha siasa nchini, wala NGOs! WHY?

- I mean responsibility ndio quality number one kwenye reforms, sasa leo ametokea kiongozi aliyefanya the impossible hakuna praise, sio kwa wanaharakati tu hata kwenye media hakuna, hakuna a word of courage toka kwa vyama vya upinzani, wala hata media coverage haikugusa sana the topic, that is very sad!

- Ninapenda kumpa salute Mheshimiwa Waziri kwa kitendo chake hicho cha kishujaa sana, kinatakiwa kuweka msingi wa uwajibikaji wa Viongozi wa juu katika taifa leu, ambao unaonekana kutokuwepo na kuwapa nafasi baadhi ya viongozi wetu kujifanyia tu wanavyotaka na siku zote kuishia kumpa taabu sana Rais wa Jamhuri kuvunja baraza zima la mawaziri, badala ya waziri mmoja aliyeharibu kujitoa mwenyewe kama huyu Shujaa aivyofanya!!

OUR MEDIA, WANAHARAKATI, NA WAPENDA MABADIIKO KWENYE HII MMEHARIBU SANA TUMPE WAZIRI HESHIMA YA AINA YAKE KUSUDI UWE MFANO KWA WENGINE!!

- MUNGU AIBARIKI TANZANIA!!

WILIAM.

Hapa mkuu Willium sasa umechemsha kabisa kwahiyo mtu akitimiza majukumu yake ambayo sisi wananchi tumemwajili kwahilo tumpongeze?na asipotimiza akawajibika kwa kujiondoa mwenyewe ili wanao weza wakachukua ajira hiyo,hili mkuu halihitaji pongezi hata kidogo ni sawa na baba akiwahudumia watoto wake kwa mavazi yaani uniform za shule,chakula na huduma nyinginezo huu ni wajibu wa baba na wala watoto hawahitaji kumpongeza kwani anakuwa ametimiza majukumu yake kwahiyo waziri huyu hahitani kupongezwa bali kulaumiwa kwani alitakiwa kujiuzuri tangu ilipotokea ajali ya kwanza ya spicelenders.Serikali iangalie namna ya kumfikisha kwenye vyombe vya sheria kwani amesababisha mauaji kwa kukusudia.
 
​WILLIAM UMEFUKUZWA FACEBOOK? ULISEMA HUKU KWA WAMBEA UMERUDI KWA NINI NAONA UNAZIDI KUCHANGANYIKIWA UNAKULA MATAPISHI YAKO NAOMBA WATU WASIKIJADILI MAANA UWEZO WAKO WA KUTAMBUA NA KUCHANGANUA MAMBO NI FINYU SAANA iQ YAKO INA WALAKINI HIVYO NAKUSHAURI UWE UNASHINDA DISCO NA VIJIWENI HUKU KWENYE SIASA YOU ARE TOO LATE.
- Sio kosa langu kwamba baba yako hakusoma na hakuwa kiongozi!!

Willie!
 
william kukaa kwako usa hukufaidika nako?hata hayati abeid karume alifaidika alipokuwa baharia lakini wewe umebaki na akili ya kibaharia,tunataka serikali ichukuwe hatua kuanzia ununuzi wa vifaa vibovu wahusika washitakiwe na wafungwe na sio kujiuzuru tu baada ya madudu mengi sio mambo unayozungumzia ya siasa za kiccm akiwemo babayako kulindana hatutavuka daraja hili ikiwa ccm itabaki madarakani maan kwa mtazamo wa mtu kama wewe uliyekaa majuu bado una mtindio wa mawazo kweli ccm ni kama ukoma.
 
Kwanza kabisa amelazimishwa.
Pili, ughaibuni au bongo standards ni zilezile. Ndiyo maana nikakwambia kama kweli unataka kuwa mwanasiasa, jitahidi kusoma. Na hiyo haimaanishi mimi ni mtu anayesoma sana, ila watu wanaosoma utawajua tu, huwa wana points za maana na siyo za kupoteza muda.
Sorry brah, ila unajiexpose too much !!! ... tuliza boli kwanza.

UMEZUNGUMZA MAMBO MAZITO SANA,mshkaji nilikuwa namkubali na kumwona kama jamaa flani makini wakati huo akiwa US LKN BAADA YA KUONA MAMBO YAKE,MAANDIKO yake na vitendo kadhaa wa kadhaa tokea ameingia bongo ukweli nimeanza namtoa maana kwa kasi
 
- great thinkers wanatakiwa kuwa bigger than that bro!!

Wiliam.


Well... you might be right bro, but watu km hawa ni wa nini sasa?

.....after about three centuries of integration between natives, Arabs and the Shirazi immigrants, their emerged three major ethnic groups. The Watumbatu and Wahadimu who correspondingly inhabited the northern and southern parts of Zanzibar Island and Wapemba who occupied Pemba Island. They all categorically regarded themselves as Shirazis and considered to be the indigenous people of Zanzibar and Pemba islands. Blatantly, they deny to have major African roots and though they accept that some of the earlier ancestors came from the mainland, they object to the claim that they must be Bantus or Africans.

Zanzibar History

Hapo tunaongelea miaka ya 1500, wameanza kutukataa zamani sana hawa watu. Sorry bro!

 
mharir mmoja leo ameandika tahariri ya pongez kwa huyo wazir,ingawa mimi siungi mkono nimpongeze kwa kupoteza roho za watu wasio na hatia kwa uzembe huo ni upuuzi,kwa kule CUBA huyu waziri tunanyonga tunahitaji wanaharakati wawajibikaji km CHE,R.I.P the butcher of LA CABANA'
 
Back
Top Bottom