Kijiji kimoja Pemba ilikuwa kuna shimo km 1 kabla ya kukifika, wenyeji huwa wakipita hapo huanguka na kuumia, wakashauriana nini la kufanya. Majibu kwa asilimia yalikuwa kama ifuatavyo:-
1. Iletwe ambulance karibu ili atakae anguka awahiwe haraka. 21%
2. Ijengwe hospitali karibu atakae umia awahishwe kupata matibabu. 28%
3. Lifukiwe lile shimo lichimbwe jengine karibu na kijiji iwe rahisi kumchukua alieumia.22%
4. Lichimbwe shimo jingine kando yake watu wasiangukie ktk lile la kwanza. 29%
1. Iletwe ambulance karibu ili atakae anguka awahiwe haraka. 21%
2. Ijengwe hospitali karibu atakae umia awahishwe kupata matibabu. 28%
3. Lifukiwe lile shimo lichimbwe jengine karibu na kijiji iwe rahisi kumchukua alieumia.22%
4. Lichimbwe shimo jingine kando yake watu wasiangukie ktk lile la kwanza. 29%