Wapare na vituko.

min -me

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2022
Posts
57,826
Reaction score
165,609
Kipindi nasoma same boys , nipo na mwanangu mmoja wa mwanza , hatuna ramani ya viroba kulandua kichwa ,na pcb imekaza kinouma lazima tuishtue na unyama fulani hivi😅

Tukazamia kitaa cha wapare , kusaka kazi ya kufanya tupate pesa , tukapata mchongo wa elfu 3000 kusafirisha trey la fulani dogo la mbao kijiji fulani masandale ndani ndani .


Hatukujali,goma tukalitoa tumaini hospital pale same mjini, kwa kichwa kufika hicho kijiji ni zaidi ya km 30 kutoka same boy , tuna shangaa mahali tumealikwa watu baada ya kufika sisi wanalia mno, kumbe mchongo tulipewa ni maiti ya mtoto kmamke, tena kwa mtonyo wa kijinga sana.



Siku hiyo wapare walitambua mchaga ni mtu wa aina gani , hakuna shughuli iliendelea kmamke, na kwa mara ya kwanza nilitengeneza milioni moja yangu ya kwanza kibabe sana


Cc. ERoni Mshana Jr Robert Heriel Mtibeli Mbaga Jr
 
 
Ulizidiwa ujanja tu. Hakuna mpare wa kukupa milioni 1 hata ungetishia kujinyonga. Mtu kesi ya kuku anauza nyumba iwe wewe unatupanga kuwa kutoka afu tatu ukapewa mioni 1... CHAI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…