Kwani ni lini hawa watu wameanza kuwa na akili! Mimi siwashangai hata kidogo ndivyo walivyolaaniwa hivyo. Nilishawasamehe bure. Wacha tuwabebe tu kwenye huu Muungano maana tukiwaacha peke yao tumewapoteza.
Mara kwa mara viongozi wa serikali ya Zanzibar wamekuwa wakipinga makampuni ya pombe kudhamini michezo Zanzibar pamoja na kilio cha vyama vya michezo vya huko kuishawawishi serikali yao bila mafanikio.
Na hivi sasa kumekuwa na wimbi la uchomaji bar huko visiwani kisingizio cha imani ya dini, lakin cha kushangaza mwishoni mwa wiki Makamu wa pili wa rais mh. Balozi Seif Idd alipokea milion 10 kutoka TBL kama msaada kwa wahanga wa ajali ya meli.
Kama kweli serikali inapinga pombe wangegomea pesa hizo chafu za wauza pombe ambayo ni haramu au ni ndio baniani mbaya kiatu chake dawa.
Waislamu wote hata wa bara ni vigeugeu. Sasa hivi waislamu wa Bara wanaomba kuanzisha mahakama ya kadhi ambayo wanataka igharamiwe na serikali. Serikali imewaambia waislamu waanzishe na kuindesha wenyewe lakini hawataki wanataka kodi za serikali ndiyo ziendeshe mahakama ya kadhi.
Juzi tu Pinda amesema bungeni mlipa kodi mkubwa nambari moja ktk JMT ni TBL (kampuni ya bia). Sasa je waislamu wako tayari mahakama ya kadhi iendeshwe kwa pesa zitokanazo na pombe ambayo kwa mjibu wa imani yao ni haramu?
Shuhudia majibu ya waislamu kuhusu hili swali. And be the juror yourself.
Kwani ni lini hawa watu wameanza kuwa na akili! Mimi siwashangai hata kidogo ndivyo walivyolaaniwa hivyo. Nilishawasamehe bure. Wacha tuwabebe tu kwenye huu Muungano maana tukiwaacha peke yao tumewapoteza.
jamani muelewe kwenye dharula uislam kuna vitu imeruhusu ikiwe mo nguruwe
jamani muelewe kwenye dharula uislam kuna vitu imeruhusu ikiwe mo nguruwe
Mukiacha kutubeba tutapata shida mana mushatuzoesha migongo yenu.
uislaam ni dini inayomjari muumini akiwa ktk mazingira magumu mfano nguruwe ni haramu, lakini ktk mazingira fulani ya njaa na hakuna chakula chochote kile zaidi ya nguruwe, ili kunusuru maisha muumini dini inamruhusu muumini huyo kumega kipande cha nguruwe huyo na kuweza kula, sembuse pesa iliyotokana na pombe kwenye ajali iliyogharimu watu zaidi ya 200 na majeruhi wengi wakihitaji msaadaduu basi hii dharura ni ya ajabu....inayohalalisha haramu kuwa halali ...