tutafikatu
JF-Expert Member
- Dec 17, 2011
- 3,326
- 4,624
Wanywa chai bwana!!! Malalamiko kibao.
Toka Magufuli ashike usukani wanywa chai kila siku mnalialia, sukari imepanda bei! sukari imepanda bei! Sisi tunaokunywa bia tungekuwa tunalalamika hivyo nchi hii si isingetawalika?!!! Sisi kila mwaka, tena toka enzi za Mwl. Nyerere tunapandishiwa bei ya bia. Tumetulia tu na bia zetu.
Toka Magufuli ashike usukani wanywa chai kila siku mnalialia, sukari imepanda bei! sukari imepanda bei! Sisi tunaokunywa bia tungekuwa tunalalamika hivyo nchi hii si isingetawalika?!!! Sisi kila mwaka, tena toka enzi za Mwl. Nyerere tunapandishiwa bei ya bia. Tumetulia tu na bia zetu.