Kilichofanywa na Manispaa ya Morogoro kwenye Soko la Chief Kinga'allu ni chakushutumiwa na kina leta picha mbaya kwa kutumia majina ya viongozi wa nchi kuhalalisha matumizi mabovu ya soko tofauti na utaratibu uliowekwa katika 'design' ya soko hilo. Manispaa wamebadili matumizi ya soko na kuvuruga kabisa taswira nzuri ya Soko.
Viongozi wa manispaa waonywe. Nasubiri Institute Engineers Tanzania tawi la Morogoro watoe tamko.