Wanyamwezi nani kawaroga?

Status
Not open for further replies.

yaani nilivyookoka nilikuwa naomba kimoyo moyo uzi huu usiuone, maana nilikuwa na imagine ni jibu la namna gani ungempatia huyu mgogo. Duh labda nianze kufunga ndipo maombi yangu yasikilizwe. LOL
 
Aaah mgogo kaamua kupiga na kuangamiza watani zake... Wanyamwezi kwishney.
 
muwe makini kumuelewa mleta mada kabla ya kuchangia.amesisita yeye co mbaguzi ila Rage ni msomali asiye na vigezo na hajui shida za wananzengo kitu ambacho hata Rage anakiunga mkono

Eti yeye sio mbaguzi ila Rage ni msomali,what is that? Racist you ------
 
wanyamwezi tuko sawa....na kama kuwa viongozi wabovu tutawatoa hv karibuni....swala la lowassa hata kwingine alishatambikiwa ndo siasa chafu za bongo ila naomba ujue mabadiliko ya taifa hili yataanzia tabora.....viva mboka!
 
hakuna kurogwa mkuu...ni kukosekana kwa elimu yenye manufaa tu ndiyo shida kubwa ya nchi hii.

narudia, Elimu yenye manufaa, siyo bora elimu...maana bora elimu ndiyo hii, bunge, serikali limejaa mashahada ya vyuo anuwai duniani lakini ufanisi ni sifuri....kwanini, sababu hizo elimu wamesoma hao jamaa hazina manufaa...hawana tofauti na punda anayebeba gunia la mahindi lakini mwenyewe anakula majani makavu.
 
Kijana you are hardly 30yrs. Lakini hauko sawa.... ajabu umesoma lakini elimu yako imefunikwa na wigo na ujahili!!sijui nini unaamini kurogwa!? inuka uchape kazi!!
 

Mkuu Wape somo hao hao wenye akili mgando kama huyo mbaguzi alieleta huu uzi
 
Mkuu sio kweli kuwa uvivu na ujinga wetu kasababisha Mwarabu, mbona sehemu nyingi alizokaa Mwarabu hapa nchini sasa hivi zimeendelea? Mfano Mzizima, Unguja n.k.
 
Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi ambao kama ungemalizika ungekuwa bora kwa Afrika Mashariki, lakini tatizo ukizungumzia udhaifu wa Wanyamwezi unaoponzwa na 'HEWALA BWANA' unaonekana mbaguzi.
 


labd. Kizazi hiki, Mageuzi ya kweli yalianzia Tabora, kumbuka Kasela Bantu, Fundikira, KASSANGA TUMBO, Mapalala, bila ya kuwasahau Milambo NA Isike!!!
 
Hapo ni Utani tu kati ya Mgogo na Mnyamwezi wala si kingine
Mkuu sio kweli kuwa uvivu na ujinga wetu kasababisha Mwarabu, mbona sehemu nyingi alizokaa Mwarabu hapa nchini sasa hivi zimeendelea? Mfano Mzizima, Unguja n.k.
 
Huo ulikuwa utani tu hata mtoa mada Mgogo alitoa akijua na akimlenga Mtani wake Mnyamwezi
Kijana you are hardly 30yrs. Lakini hauko sawa.... ajabu umesoma lakini elimu yako imefunikwa na wigo na ujahili!!sijui nini unaamini kurogwa!? inuka uchape kazi!!
 
tabora kigoma ni mapacha wawili wasiojua wazazi wao , mmoja anamjua mama mngine anamjua baba , siku wakijuana watashinda famila zote zilizokuwa zinajivunia wazazi , my point fursa ya tabora itatoka kigoma na fursa ya kigoma tabora hawa wabunge waliiangalie hilo siyo bla bla tu , hata akichaguliwa nani kama hawataliona hilo tunatwanga maji katika kinu , siku mikoa hii ikifunguka vizuri wakulima , wafanyabiashara , wavuvi, watanufaika sana lakini nionavyo mimi watu wa kigoma ndiyo wanaolilia zaidi barabara kuliko wenzetu wao na simba utafikiri simba ni maendeleo ya miji . FUTA DELETE KABISA RAGE +SERUKAMBA
 
Ivo juu ya elimu yote mlanayo bado mnaonyesha mumebobeya UBAGUZI kibao ..Khaa hakuna utani mulikuwa mnakusudia tuu!! JF ni kubwa kuliko mawazo yenu!! Yaani aibu mnafikia hadi kuumbuana kimakabila Looh lool!! Bora nimwite babu yangu Sultani awatawale tena..ili mpate kujifunza heshima. kwaherini akili ndogo!!
 
Mwarabu ndio katuroga kwa kutuletea dini na mila zake za utwana na ubwana kwa maoni yangu lakini.

Mpendwa hata wewe...?!!! kumradhii Al-Waarabu hawarogi ..wao hunyanyua mikono juu kuomba tuu. Your honor wewe ni well educated !! good luck and stay happy.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…