Wanyama 130 wakiwemo twiga watoroshwa KIA kwenda Qatar

Nadhani gharama waingie hao waliokwapua wanyama wetu!
Tena sio kuwarudisha tuu ila na kesi ifunguliwe juu yao kama kuna sheria zilikiukwa wakati wa kuchukuliwa hao wanyama.
Kwa nchi ambayo iko serious Dege la Jeshi likitua kwenu lazima TISS NA IKULU PLUS JWTZ wawe on the loop bse inaweza kuwa imekuja kuvamia.
So hawa wote watatu walishaambiwa msihofu imekuja kwa amani ndo ikaland na kuondoka na wanyama wetu
 
Nadhani gharama waingie hao waliokwapua wanyama wetu!
Tena sio kuwarudisha tuu ila na kesi ifunguliwe juu yao kama kuna sheria zilikiukwa wakati wa kuchukuliwa hao wanyama.
Kwa nchi ambayo iko serious Dege la Jeshi likitua kwenu lazima TISS NA IKULU PLUS JWTZ wawe on the loop bse inaweza kuwa imekuja kuvamia.
So hawa wote watatu walishaambiwa msihofu imekuja kwa amani ndo ikaland na kuondoka na wanyama wetu

Nakubaliana nawe wahusika hawa wa Kibongo wafilisiwe mali zao zote ili kufidia gharama za usafirishaji za wanyama hao.
 
wewe mbona ni mjinga hivo,huoni comment yako ndio chanzo cha kuleta udini humu.

akili yako fupi ndio inayo kuruhusu kuingiza uislam hapa?

hebu tubadilike tuwe open minded,ndio tuta tatua hata matatizo mengine.

kwa habari yako hao wote walio iba wanyama wapo wakristo humo wasio na dini,kabila lako lipo nalo,serikali yako.

tuwe watu wakukemea vitu hivi bila kuangalia walio fanya hivi nani.

udini una uanzisha mwenyewe
mzee samahani kama nimekuudhi, ila ukweli ndio huo....
 
Watanzania tuishinikize Serikali ifanye juhudi za nguvu ili wanyama wetu wote waliopo Qatar, Saudi Arabia, Dubai na Pakistan warudishwe haraka iwezekanavyo. Huu ni wizi na wahusika wote katika wizi huu wapandishwe kizimbani haraka sana na hatua kali za kisheria zichukuliwe dhidi yao.


Mimi sidhani kama itakuwa busara sana kuwarudisha wanyama ambao wamekwishabadirisha mazingira ya kuishi na wakirudi tu watakufa mara moja. Pili gharama za kuwarudisha zitakuwa ni kubwa mno.

Tuwarudishe ili iweje? Tuwaone nyuso zao? Vile vile wale wanyama siyo vito kwani watakufa tu muda si mrefu. Kinachotakiwa, kama kweli waliopo madarakani wana nia nzuri ni kufichua huo mtandao mzima na waliohusika kufikishwa mahakamani. Lakini kwa Tanzania kwa vile wahusika ni hao hao wakubwa hawatatuambia ni nani aliwatorosha hao wanyama bali watatumia pesa yetu nyingi kupeleleza na kuwarudisha Tanzania!
 
Naona itafika kipindi vivutio vyote vya utalii nchini vitakua nchi za watu na watalii watakuja tanzania kuona mtu anaeishi chini ya dola moja anaishi ishi vp tu.
 
Hii serikali haina uhalali wa kuwa madarakani kwa namna yoyote ile,hiyo ndege ya kijeshi iliingiaje,halafu hao TISS Walikua wapi,jwtz wapi?
Ni uzuzu wetu tu ndiyo unaoifanya hii serikali iendelee kuwepo madarakani. Yaani sidhani kama kuna nchi yoyote duniani ambako taifa lingine linaweza kuingia kwenye mipaka yake na kuchukua mali za hiyo nchi bila ya taarifa ya wenye nchi.

Ndiyo maana wakenya wanawinda wanyama wetu serengeti na hakuna mwenye taarifa ya kinachoendelea huko. Ndege zinaruka toka south Africa zinakuja kubeba madini nchini na hakuna anayeonyesha mshangao. Na hilo jeshi la wananchi tunalolilipa mamilioni ya shilingi sijui ni kwaajili ya nini? sasa hilo dege la kijeshi lilokuja kuchukua wanyama lingedondosha mabomu ingekuwaje? Maana ya kuwa na lirada la gharama nchini ni nini kama haiwezi kutumika kuona ndege ya kijeshi ya nchi nyingine ikiingia nchini?

Kwa hakika Kikwete akimaliza muda wake tu akamatwe, ashitakiwe na anyongwe kabisa mwizi mkubwa huyu.
 
hizi gharama za kuwafuatilia na hatimaye kuwarudisha nani anazilipa?

Hawawezi kurudi!!
Forget it, tumewauzia hawa waarabu wa doha Loliondo, wanafanya watakacho kwa sheria zao!!

Uliza kama kuna kima wa mamlaka zetu anayejua kinachoendelea kwenye kale kanchi kadogo kalikoanzishwa pale Loliondo.
 
  • Thanks
Reactions: Aza
..serikali vumbi@work, hao wanyama kurudi vumbi tu! Labda..yani Labda akabidhiwe Zito na jopo lake,wasimame kidete othrwiz vumbi2!
 
Mimi sidhani kama itakuwa busara sana kuwarudisha wanyama ambao wamekwishabadirisha mazingira ya kuishi na wakirudi tu watakufa mara moja. Pili gharama za kuwarudisha zitakuwa ni kubwa mno!
Kama ni hivyo basi tufungue mbuga za wanyama kwa jina la Tanzania huko kwenye nchi za wenzetu....maana na serikali hizo ni za ajabu. Kwa nini hawakuijuza serikali kuhusu hili? Au waliijuza na wakubwa wakakaa kimya? Well,mbali na joke hii nadhani wanyama wanaweza ku-adapt wakirudishwa,,,,mbona walipelekwa mazingira mapya kabisa na wameishi. Suala la gharama za nani, lazima wahusika wagharamie, pamoja na hii kamati anayoiunda mh Kagasheki....Teh! Nachelea kusema kama wengine inawezekana na hii ikachinjiwa baharini....wala tusitegemee matokeo mazuri...zinaweza kuja justifications mpaka mkashangaa
 
Kama watanzania wangekuwa makini kiasi cha kutosha hili lilikuwa linatosha kabisa kuilazimisha serikali yote ijiuzuru kwa kushindwa kulinda mali za nchi.
 
Mimi sidhani kama itakuwa busara sana kuwarudisha wanyama ambao wamekwishabadirisha mazingira ya kuishi na wakirudi tu watakufa mara moja. Pili gharama za kuwarudisha zitakuwa ni kubwa mno.

Tuwarudishe ili iweje? Tuwaone nyuso zao? Vile vile wale wanyama siyo vito kwani watakufa tu muda si mrefu. Kinachotakiwa, kama kweli waliopo madarakani wana nia nzuri ni kufichua huo mtandao mzima na waliohusika kufikishwa mahakamani. Lakini kwa Tanzania kwa vile wahusika ni hao hao wakubwa hawatatuambia ni nani aliwatorosha hao wanyama bali watatumia pesa yetu nyingi kupeleleza na kuwarudisha Tanzania!

Wanyama wanasafirishwa mara nyingi tu hapa duniani na ni mara chache sana hutokea kufa. Kitu chako kikiibiwa na unakijua mahali kilipo ni lazima ukifuatilie ili kukirudisha katika miliki yako. Wanyama wetu wanapungua kwa idadi ya kutisha hivyo hawa wakirudishwa wanaweza kabisa kuzaliana zaidi na hivyo kuongeza idadi ya wanyama katika mbuga zetu. Wanyama na ndege 116 si idadi ndogo ya kudharau na kusema waache wakae huko huko. Nadhani Watanzania wengi wangependa kuona wanyama hawa wanarudishwa nchini hata kama gharama za kuwasafirisha ni kubwa.

 
TISS wameshindwa kudeal na uamsho ndio wangeweza kuseal na qatar?? Just simple logic
Sidhani kama Tanzania kuna TISS, nafikiri kuna wahuni fulani, wanaoganga njaa tu. Hawana lolote. Imagine hilo dege la kijeshi lingeshusha mabomu na kuua watu. How on earth dege la kijeshi la nchi nyingine liweze kutua na kubeba wanyama bila ya serikali kujua kinachoendelea? Huu ni zaidi ya uozo katika uongozi wa Kikwete!
 
Kama ni hivyo basi tufungue mbuga za wanyama kwa jina la Tanzania huko kwenye nchi za wenzetu....maana na serikali hizo ni za ajabu. Kwa nini hawakuijuza serikali kuhusu hili? Au waliijuza na wakubwa wakakaa kimya? Well,mbali na joke hii nadhani wanyama wanaweza ku-adapt wakirudishwa,,,,mbona walipelekwa mazingira mapya kabisa na wameishi. Suala la gharama za nani, lazima wahusika wagharamie, pamoja na hii kamati anayoiunda mh Kagasheki....Teh! Nachelea kusema kama wengine inawezekana na hii ikachinjiwa baharini....wala tusitegemee matokeo mazuri...zinaweza kuja justifications mpaka mkashangaa
Unapotembeza bakuli dunia nzima kuomba msaada hata vitu ambavyo watu wako wanaweza kuvifanya, vitu vingine ni kujiwekea malengo! pamoja na tamaa ya madaraka na utajiri wa haraka haraka kupitia uongozi tanzania basi tegemea huko unakoomba misaada kukufanya wanavyotaka. Nikimaanisha, viongozi wetu si wabunifu hata kidogo, wamezoea kutembeza bakuli kila kukicha! matokeo yake masharti ni kama hayo, tunakupa hela za kampeni lakni tunataka wanyama, tunataka madini, tunataka hiki na kile mfano kampuni la kufua umeme au kampuni la kujenga barabara feki mipesa kibao.
 
hizi gharama za kuwafuatilia na hatimaye kuwarudisha nani anazilipa?
Kama ulikuwepo, tutakuja ambiwa wale wanyama hawakuppatika wengi walikufa kutokana na mazingira ya usafirishwaji wao, lakini timu imetumia $50,000 ukijumlisha na gharama ya hao wanyama unachoka!! CCM woyee!!!
 
Hakuna myama aliyetoroshwa katika nchi hii,

Huwezi kutorosha twiga hai, kwa ukubwa wake ule, tena kwa kutumia ndege ya jeshi ya nchi nyingine.
 
CCM yua fwakingi us Tanzanians.
Hebu niambieni ni gamba gani mlilolivua wakatu ufisadi uko palepale?


This is absolutely true ---- jamani unajua CCM they think Tanzanians are fools and they can get away with everything; no no no we are in the out look for each and everything na tunataka huyo MAIGE awekwe ndani tunashanga kwa nini wako nje wana tamba ??? je had it been a simple Tanzania ??? would he/she be out kutamba au atawekwa maabusu au jela ??? He is a very extreme corrupt guy which is very open he was like a semi God who is not visible to people who wanted to see him. Afilisiwe kabisa na kuwekwa ndani.
 
Back
Top Bottom