Wanyama 130 wakiwemo twiga watoroshwa KIA kwenda Qatar

Hawa hapa - (Qatar)​
7247260464_b1970ed248_b.jpg


Zebras at Sunset - Doha Zoo, Qatar

 
Haya nisamehe Mpwa, tuendelee na mjadala wa wanyama wetu
wewe acha utani kwenye mambo ya msingi kama haya,kana unataka zawadi mtafute yule katibu mwenezi wa ccm akupe ya kwenda nayo shambani umesikia?
 
attachment.php




“It will be a multisectoral team incorporating
people from the ministry of Natural Resources and Tourism, the Attorney General’s Chambers and Tanzania Intelligence and Security Services (TISS)” noted the newly-appointed minister.



Source:The Guardian

Hawa kwenye nyekundu si walikuwa kazini wakati wanyama wanatoroshwa? Wanaenda kuchunguza au ni kufukia nyayo?
 
Ni habari njema kama wanyama hao watarudi nyumbani kwao Tanzania bila kujali kama waliondoka kwa hiari yao au bila hiari.

Tunawatakia safari njema wanyama hao ili waweze kufika salama kwao Tanzania.

suala hili si la CCM na Chadema ni la Taifa letu itapendeza kama tutalipa picha ya kitaifa badala ya vyama vya siasa.
 
Suala la kusafirisha wanyama inabidi liangaliwe upya kwani ni chanzo cha kupungua kwa watalii wa nje kutembelea mbuga zetu za wanyama.

Tukumbuke kwamba Zoo moja tu kubwa yenye wanyama mbalimbali kwenye nchi yoyote duniani inatosha kuwafanya watalii kuacha kutembelea mbuga zetu.

Utalii ni suala linalohusisha gharama kubwa hivyo zoo zitakazoonyesha vivutio vya utalii wa wanyama walewale tulionao kutapunguza gharama za watalii kusafiri hadi Afrika kuona wanyama wetu.

Haiitaji mtalii kuona simba 100 ili kujiridhisha kuwa kaona simba bali simba mmoja tu anatosha kukidhi kiu ya mtalii kuona simba halisi ... vivyo hivyo kwa wanyama au vivutio vingine.
 
Hivi hawa Wanyama wa Savana wanaishi Jangwani kweli si mateso tu?

Acha warudi nyumbani haraka sana -- Yes!!! Peponi kwao.



 
Last edited by a moderator:
chama cha mapinduzi.
viongozi wake ni hawa.
mwenyekiti jakaya mrisho kikwete.
katibu mkuu wilson mukama.
mwenezi nape moses nnauye.
uchumi na fedha mwigulu nchemba.
...............
................
...............
Kwangu mimi sijui kama hawa wanaweza hata kuongoza familia ikafanikiwa kufikia malengo yake. Wote wauza sura wanaoshindana tu kutumia mkorogo kama wanawake. A bunch of ******!
 
Huyu jamaa baada ya Waziri wa Fedha kuwasilisha bajeti yake, akahojiwa na vyombo vya habari ili kupata maoni yake. Kwa mshangao wangu akaisifia sana bajeti kuwa itainua uchumia wa mtu wa chini. Kwamba imewakumbuka watu wanaoishi vijijini na ni bajeti ya kuleta maendeleo. Kisha yule binti mbunge wa viti maalum nadhani ni Ester Bulaya naye akaisifia sana bajeti. Nilijiuliza maswali mengi, lakini mwisho nikajiuliza je ni lazima kutoa maoni hata kama kitu hukijui ? Tunatatizo la uwezo wa kuelewa na kupambanua mambo. Kutazama mambo kwa jicho la tatu bila ushabiki. Lakini mbaya zaidi hawa ni vijana. Kama taifa litakuwa na vijana wa jinsi hii, basi tuhesabu maumivu kwenye uwakilishi wa kimataifa, maana hawataweza kukaa na kupambanua mambo kiundani na mwisho wa siku tunaweza kumsifia Chief Mangungo wa Msovelo kuwa walau alijitahidi kulinganisha na hao.
Na yule binti sijui eti katibu wa gamba anafurahi JKT kurudishwa eti ajira zitaongezeka!.
 
Hawa viongozi wetu bwana sijui waliona hawawezi kuwalisha Waarabu wakija kutalii ili waone wanyama hukuhuku kwetu?
Wakaona wasije bali wawapelekee wanyma hukohuko kwao.
Sasa nisijchojua ni viwango vya malipo kwa hii Mobile Tourism vikoje!.
Nikijua na mimi nitaagiza waniletee kwangu nitalii nikiwa Gheto Bwana kwani hela kitu gani!.
 
Mwinyi, we Mwinyi, nasema we mzee Ali. Ndio mwasisi wa huu wizi. Mrema alikusema weee, mpaka amezeeka!
 
Nadhani deal hii iliwahusisha zaidi ya hao waliotajwa, Waarabu huwa ni waoga sana hawawezi kuingia nchini kuchukua wanyama bila viongozi wakuu kubariki wizi huo. (HAYA NI MAWAZO YANGU)
 
Kwa nchi hii bado tuna safari ndefu sana.

Kwa kuwa hakuna aliyefungwa jela maisha kwa uhujumu uchumi basi mjue hakuna atakayeogopa kuiba. Dawa ni kuiondoa CCM madarakani.
 
That's too much, it's time to put our hands together to condemn what happen. Tanzanians we have been fools for so long, thanks for those who let us know about the aaoutgoing scandals. Natural resources for all Tanzanians.
 
Hawa hapa - (Qatar)​
7247260464_b1970ed248_b.jpg


Zebras at Sunset - Doha Zoo, Qatar


Hii inaonyesha jinsi VIONGOZI WA NCHI HII WALIVYO LAANIWA!

Tanzania ni sawa na nchi ya majuha ambao hata hawajui wanafanya nini hapa duniani! Tunachotaka kusikia ni KWAMBA WATU WALIOHUSIKA NA UFISADI NA UHUJUMU UCHUMI WA NCHI HII WACHUKULIWE HATUA KALI ZA KINIDHAMU IKIWEMO KUTAIFISHA MALI WALIZO NAZO NA KUSTAAFISHWA KAZI KWA MANUFAA YA UMMA. Hivi kama Watanzania tukiendelea na upuuzi huu wa KUACHIA WAGENI KUCHUKUA MADINI YETU NA WANYAMA BAADA YA MIAKA MINGINE 50 KUTAKUWA NA KITU KWELI HAPA TANZANIA ZAIDI YA KUBAKI NA MASHIMO NA MAPORI YASIYO NA MNYAMA WALA NDEGE!!!!!OH,BABA MUNGU WA IBRAHIM,MUNGU WA YAKOBO NA ISAKA HEBU ANGALIA UNYAMA HUU UNAOFANYWA NA VIONGOZI MAFISADI WA SERIKALI YA CCM!!!

Natamani policy ya nchi ya CHINA inayoruhusu FISADI,MHUJUMU UCHUMI na MWENYE BIASHARA YA MADAWA YA KULEVYA KUPIGWA RISASI HADHARANI. Kama sheria hii ikitekelezwa hapa Tanzania nafikiri Viongozi wengi wa Tanzania watakuwa victims na itasaidia kupunguza ujinga huu.

 
Ulitegemea wangeenda wapi mahali ambapo yupo Raisi Jakaya Kikwete na Major General Shimbo ndio muliyoyataka,ilikuwa zawadi yao kwa pesa walizotoa za uchaguzi 2010 ,Mkakati ni Kwamba waarabu washitakiwe the hague wanyama warudishwe
 
ili suala nikiliona na kufikiri roho inaniuma sana,na nachukia wanasiasa na w.... wote waliopo madarakani
yani their nonsense n stupid,harafu tunasema tuna TISS cjui na kile chombo cha wajeshi...my ass!
 
Back
Top Bottom