kuna watu mnajua kumzidi hata Mungu, kipindi kulikuwa na mafuriko sana yaliyopelekea kupotea mpunga mwingi katika mashamba, so si ajabu kuona hesabu zake zinakwenda hivyo.
mimi binafsi namuunga mkono kwa hesabu zake..kwani nimelima kwa miaka mingi na bado ninalima mpunga mpaka sasa.