Siyabonga101
JF-Expert Member
- Mar 8, 2016
- 2,424
- 2,300
Mzigo umeshafika Dar mkuu?
umeshawahi kulima ukapata hizo gunia?Mkuu ekari sita ulitakiwa upate zaid ya gunia 300, ukilima kisasa
Mvomero kipindi hiki cha mavuno mpunga gunia la debe saba ni elf 60 na kuendelea mpaka 70.Mkuu unashindwa nini kuweka bei ya kugunia/debe la mpunga
....Umeshawahi kulima mpunga mkuu? Hiyo ni wastani wa gunia 50 kwa ekari, hata kwenye irrigation schemes hupati hiyo.Mkuu ekari sita ulitakiwa upate zaid ya gunia 300, ukilima kisasa
Mkuu kuna watu wanaongea tu mtu ajawahi kulima anaongea pumba.....Umeshawahi kulima mpunga mkuu? Hiyo ni wastani wa gunia 50 kwa ekari, hata kwenye irrigation schemes hupati hiyo.
Mkuu ekari sita ulitakiwa upate zaid ya gunia 300, ukilima kisasa
Samahan ni miscalculation, kwa ekari sita ni maximum ya gunia 162 za mpunga.....Umeshawahi kulima mpunga mkuu? Hiyo ni wastani wa gunia 50 kwa ekari, hata kwenye irrigation schemes hupati hiyo.
nitauza gunia 15 au 20 tu za mpunga ili nipate hela ya kukobolea na kusafirishia mchele kupeleka dar,Mkuu nawaza tu kwa sauti kwamba kwanini usiukoboe huo mpunga na uuze mchele nahisi kama utapiga pesa sana tofauti na kuuza mpunga kama mpunga.
Halafu kingine unaweza ukatulia kidogo usiuze now ili usibiri bei ikae poa kidogo.
OK, ntatoa taharifa humu humu jfUkifika dar huo mchele tufahamishane,ila mie nataka kwa ajili ya matumizi yangu kama kilo 30 ama 50
nazani nishalijibu hilo swari ktk comments zilizopita but sio mbaya km nikijibu tena,Hongera mkuu kwa mavuno, naomba kujua ukikoboa gunia moja la debe 7 za mpunga unapata kama kilo ngapi za mchele.
Utoe na location inawezekana tukapitia na chenji zetuOK, ntatoa taharifa humu humu jf
MREJESHO.Ukifika dar huo mchele tufahamishane,ila mie nataka kwa ajili ya matumizi yangu kama kilo 30 ama 50
Utoe na location inawezekana tukapitia na chenji zetu