Wanunuzi wa mchele/mpunga karibuni

Wanunuzi wa mchele/mpunga karibuni

Wakuu nina biashara ya mchele pamoja na mpunga huku mkoani Tabora.
Gunia la mpunga kwa huku nauza 70000

Mchele nauza 1300 kwa kilo kwa huku
Nipo Nzega Tabora
NB:Mchele wa Tabora na Shinyanga ni mtamu na mzuri sana ingawa unaoamika zaidi ni wa Mbeya

Call: 0762693368
Whatsap: 0762693368

Anauza gunia la mpunga sh 70 elfu na mchele kilo moja sh 1300 wapi usipoelewa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu nina biashara ya mchele pamoja na mpunga huku mkoani Tabora.
Gunia la mpunga kwa huku nauza 70000

Mchele nauza 1300 kwa kilo kwa huku
Nipo Nzega Tabora
NB:Mchele wa Tabora na Shinyanga ni mtamu na mzuri sana ingawa unaoamika zaidi ni wa Mbeya

Call: 0762693368
Whatsap: 0762693368

Nipo Dodoma,nataka mchele gunia moja,nipe mchakato nilipie,lifike dodoma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom