kwa dau hilo kiongozi labda uende kwa ma insure wakuuzie lililopata ajali upeleke garage!
garage
nenda moshi
unaweza bakhtisha la bei hiyo
lakini............
utapata, 15-20m
nenda kwenye magereji fulanimoshi sehemu gani mkuu? Lakini nini.....????????
nenda kwenye magereji fulani
majengo...
Lakini uwe mwangalifu nyingine si za halali
zilipigwa kitambo hasa engine za hz....
Kaka mm nafaham ilipo land cruiser v 8 ipo bomba tatizo hilo dau lako kaka kwani hata mil 50 kwa v8 iliyokuwa nzur kuipata shida labda gereji zilizopata ajali
Jitahidi unaweza kuipata lakin hayo magar mengi huja yakiwa mapya sasa ukilipata kukuu litakusumbua na si unajua spea zake zilivyo ghali?
Tunazo Land Crz.. hard top na LC za model 2000/2001/2004 (VX,GX ) zote zipo Arusha !! (ex-tour operator)
mkuu kwa ushauri tu kama huwez ongeza zaidi ya hapo kuliko kununua matatizo bora ununie gari inayoendana na bajeti yako