D Deo bony Member Mar 27, 2011 74 8 Sep 16, 2012 #1 Ndani ya Hospitali ya vichaa. Muuguzi: Unaandika nini? Kichaa: Barua Muuguzi: Unamuandikia nani? Kichaa: Najiandikia mwenyewe. Muuguzi: Imebeba ujumbe gani? Kichaa: Heh, we chizi kweli, sasa mi nitajuaje wakati barua bado haijanifikia?
Ndani ya Hospitali ya vichaa. Muuguzi: Unaandika nini? Kichaa: Barua Muuguzi: Unamuandikia nani? Kichaa: Najiandikia mwenyewe. Muuguzi: Imebeba ujumbe gani? Kichaa: Heh, we chizi kweli, sasa mi nitajuaje wakati barua bado haijanifikia?
TANMO JF-Expert Member Apr 12, 2008 11,510 11,271 Sep 17, 2012 #2 Huyo Daktari kweli hamnazo! Sasa kweli jamaa angejuaje kilichomo kwenye barua ambayo haijamfikia? Lol.....
Huyo Daktari kweli hamnazo! Sasa kweli jamaa angejuaje kilichomo kwenye barua ambayo haijamfikia? Lol.....
Baba V JF-Expert Member Dec 29, 2010 19,482 9,517 Sep 17, 2012 #3 Hiyo heading inaonyesha nawe ni mmoja wao eeh! No offence
D Deo bony Member Mar 27, 2011 74 8 Sep 17, 2012 Thread starter #4 Baba V said: Hiyo heading inaonyesha nawe ni mmoja wao eeh! No offence Click to expand... haya bhana
D Deo bony Member Mar 27, 2011 74 8 Sep 17, 2012 Thread starter #5 TANMO said: Huyo Daktari kweli hamnazo! Sasa kweli jamaa angejuaje kilichomo kwenye barua ambayo haijamfikia? Lol..... Click to expand... mgonjwa mwenyew hamnazo coz m2 utashndwa vp kujua ujumbe wa ukiandkacho?
TANMO said: Huyo Daktari kweli hamnazo! Sasa kweli jamaa angejuaje kilichomo kwenye barua ambayo haijamfikia? Lol..... Click to expand... mgonjwa mwenyew hamnazo coz m2 utashndwa vp kujua ujumbe wa ukiandkacho?