Gaspare Mbile
JF-Expert Member
- Aug 30, 2016
- 1,568
- 1,600
Wakenya kidogo wanaweza komaaYani hapo ndo utawapenda hawa jamaa huwa ni very aggressive hasa wanapodai haki zao huwa hadi kieleweke unlike all east Africans
Wakenya kidogo wanaweza komaaYani hapo ndo utawapenda hawa jamaa huwa ni very aggressive hasa wanapodai haki zao huwa hadi kieleweke unlike all east Africans
nimeelewa sana wewe ndiye huelewi, wenzako angalia walivyorespond, wanajua context ya post yangu! Unajua maana ya context ?Mkuu inaonekana hujaelewa post na details zake rudi
nimeelewa sana wewe ndiye huelewi, wenzako angalia walivyorespond, wanajua context ya post yangu! Unajua maana ya context ?
ndiyo nimestaafu we unafanya kazi ya mshahara wa laki 2 kwa mwezi, pensheni yangu milioni 2 kwa mwezi.sawa mstaafu
ndiyo nimestaafu we unafanya kazi ya mshahara wa laki 2 kwa mwezi, pensheni yangu milioni 2 kwa mwezi.
sana, najua huamini! kama ka pensheni ni kazuri kidogo na huna majukumu ya kusomesha, kananitosha na tu biashara tudogo, aha, 3m sikosi /month, kula tu!Daah safi sana mkuu maisha mazuri ya kustaafu
Unezungumzia polisi wa Bongo ila uwajui hawa jamaa, nmeishi nao sana South Afrika hata uje na mabomu wako radhi wafee. Makabulu wenyewe wanakuwa wapolee sembuse hao FFUDuuh, wangekuwa Polisi wa bongo hao naona mziki ungehamia kwa hao waliokuwa wanajaribu kumsaidia mwenzao.. But all in all nimependa jamaa walivyoonyesha ushirikiano kupinga udhalilishaji ule dhidi ya mwenzao..