Mambo faiza....nimekumis sana lini nipite hapo mkuranga nichkue hapo matikikiti...
Ova
Utanipatia nini bsi nkijaMatikiti na mvua hii? Unanchekesha.
Pole Nyani NgabuLakini kwa nini wamfunge minyororo?
Si wangemrudisha tu chini ya ulinzi.
Naweza kabisa kuielewa indignation yao.
Kabisa mkuuwanakimbia mateso ya akina bashite nigeria
hao wameleta usumbufu tu kw abiria wengine,huwezi kumpandisha mtuhumiwa kwenye ndege ya abiria,hawa wenzetu ni waafrika wabaoishi kimazabe na wameweka picha mbaya sana kwa waafrika wengine,huyo atarudishwa kivingine,makelele yao hayasaidii kitu yanachelewesha tu processNdiyo tabia yao wazungu hiyo wakim-deport mtu huwa wanamdhalilisha.
Hii mizungu ni mizezeta kweli kweli..,,afanalek! Kweli Mama Africa ameamka walahi tena!Lakini kwa nini wamfunge minyororo?
Si wangemrudisha tu chini ya ulinzi.
Naweza kabisa kuielewa indignation yao.
wanakimbia mateso ya akina bashite nigeria
Yani hapo ndo utawapenda hawa jamaa huwa ni very aggressive hasa wanapodai haki zao huwa hadi kieleweke unlike all east Africans