Nyampedawa
Member
- Feb 15, 2011
- 98
- 13
mkuu maana ya jokes ni utani,na moja ya mambo uatakayokutana nayo huku ni watani zao kama wasukuma.
sawa kabisa mkuu. Usisahau na wale watani zetu wanaomfanya mlinzi wao kitoweo baada ya kunona.
mkuu maana ya jokes ni utani,na moja ya mambo uatakayokutana nayo huku ni watani zao kama wasukuma.
Siku moja wakati nikiwa napata moja moto moja baridi kwetu Tz. Nilimsikia jamaa mmoja akimwambia mwenzake "Mngoni bora umpe milioni mia atafikisha salama kuliko kumwamini kukulelea mtoto wako wa kike au kumsindikiza mkeo". Nikabaki najiuliza hawa ndugu zetu wana tatizo gani? Nisaidieni wana JF
Kama vipi muulize mkeo kama wale watoto WENU ni wangoni au wa kabila lako.................... BY THE WAY, HUYO MWANAMKE AMBAYE HAWEZI FIKA BILA KUMEGWA NA MNGONI ANAKUWA WA KABILA GANI...???Siku moja wakati nikiwa napata moja moto moja baridi kwetu Tz. Nilimsikia jamaa mmoja akimwambia mwenzake "Mngoni bora umpe milioni mia atafikisha salama kuliko kumwamini kukulelea mtoto wako wa kike au kumsindikiza mkeo". Nikabaki najiuliza hawa ndugu zetu wana tatizo gani? Nisaidieni wana JF
Tiyelayela kunani sana ve vayii pahii tikuvatundii mahiii.........Tiyili munani ndo mana mkutulongelela.lol