Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,356
Hommie naomba hii kesi ya skuli meti mimi niwe wakili lazima tumpe death penalt huyu!
Hehehehehe! Weye bana ndo unafaa kuwa wakili. Ten sauzend si inakutosha hommie?
Hommie naomba hii kesi ya skuli meti mimi niwe wakili lazima tumpe death penalt huyu!
Nionavyo mimi ,hakuna tatizo lolote hapo kama kutakuwa na makubaliano ya wawili hao kutegemea na desturi zao,ila kama itatokea mmoja kati yao akakataa hiyo open relationship basi itabidi yule aliyetoka nje ya relationship mwanzo ndio aadhibiwe(adhabu gani,watajua wenyewe).Nasema hivyo kwa kuwa dunia imebadilika na nilishashuhudia mume ni dereva wa heavy duty trucks na yuko barabarani kila siku na mke ni mama wa nyumbani hivyo wakakubaliana kuwa na open relation kwa masharti kuwa wakikutana wanalimega tunda kwa kutumia kinga ila wakitaka mtoto lazima wakapime kwanza.
Ten sauzend inatosha hommie ba Enock lazima aende lupango bana! Hawezi kutufanyia skulimeti zake hivi kabsaa!Hehehehehe! Weye bana ndo unafaa kuwa wakili. Ten sauzend si inakutosha hommie?
Kama wao ni free spirit bado haiwapi uhuru wa kufanya lile lililo kinyume na mila na tamaduni zao. labda tungejua mila zao zinasemaje juu ya hilo.
Ten sauzend inatosha hommie ba Enock lazima aende lupango bana! Hawezi kutufanyia skulimeti zake hivi kabsaa!
Hivi mtu akicheka huwa anakosa hamu? Kumbe ndo maana bibi ako hanipi baioloji yake kwa kuwa anacheka mara kwa mara. Mungu na amwepushe na kukosa hamu. Amen! (NB usicheke tena utakosa hamu afu utakumbwa na laana ya open rileshenship)
kwa kweli leo umeamua kunichekesha sana..Hivi mtu akicheka huwa anakosa hamu? Kumbe ndo maana bibi ako hanipi baioloji yake kwa kuwa anacheka mara kwa mara. Mungu na amwepushe na kukosa hamu. Amen! (NB usicheke tena utakosa hamu afu utakumbwa na laana ya open rileshenship)
kwa kweli leo umeamua kunichekesha sana..
naona ulikuwa unaisubiria hii topic kwa hamu sana lol
Baba Enock ni kabaila kama Roya Roy! Mi nikikuambia huwa hunielewi, sasa umeyaona? Yule ni open relationship guy bana.
Inategemea your definition of love.....
Kupenda, kunaendana na wivu, Je unaweza kupenda bila kuona wivu?
Au unampenda mtu sana yaani hutaki akose furaha, in such a way kwamba upo radhi atimiziwe furaha zake pengine? the short time anayospend na wewe ni bora kuliko kukosa kabisa kuwa nae.
Ukitaka opinion yangu hawa watu they are more of partners / friends; kuliko lovers.... sababu panapo upendo kuna wivu na huu ndio utakuwa mwanzo wa matatizo.
These things zipo katika western countries (wife swapping, swingers etc), huko kwetu na culture yetu ni ngumu
asante mkuu..
hapo uliposema panapo upendo kuna wivu
yaani hapo umekanusha kila kitu...
mmmhhhh samahani kuuliza we bado uko single au ulisha mpata kimwana lol
Kesho anzisha sredi ya closed releshenshipu nkulize kiduchu ili upate hamu.
(Open = kucheka, Closed = kulia)
Kama kucheka kunaondoa hamu, then kulia kunaongeza hamu.
Haya wanawake wote lieni kwa sauti muongeze hamu......moja...mbili...tatu.... Hamuuuuuu ongezaaaa!
hahahaahahha lol
aaiii wewe
mmmhh kwa kweli leo nimepatikana...
hivi babau did u ever think to become a comedian lol
Jamani baba watoto babu ataka kupumua kidogo....
hahahaahahha lol
aaiii wewe
mmmhh kwa kweli leo nimepatikana...
hivi babau did u ever think to become a comedian lol