kijani11
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 8,348
- 9,082
Hasa wale warefu kwenda chini halafu wana stress za mapenzi
mbona umesisitiza stress za mapenzi mkuu.
Hasa wale warefu kwenda chini halafu wana stress za mapenzi
Mungu ibariki....! Dah unanikumbusha zamani wakati nipo Chamwino Primary- Morogoro, aisee ni noumaaa,
Mungu ibariki....! Dah unanikumbusha zamani wakati nipo Chamwino Primary- Morogoro, aisee ni noumaaa,
Hapo bado kuitwa majina na ile style ya jana na Leo! Nakumbuka siku moja nilifanya maskhara nikasema juzi na kesho! Kilichotokea sitakaa nimtanie mwalimu mgeni tena