kamdudu
JF-Expert Member
- Jan 20, 2015
- 2,007
- 1,936
Kama uliruhisiwa. Naweza sema ruhsa.. Ila sijui Kama ni kosa au sio kosa
Sasa nyie hampendi wenzenu wachepuke na wakati huo huo unalala umevaa kaptura ili mwenzio asikuguse(yaani unambania)
Kama uliruhisiwa. Naweza sema ruhsa.. Ila sijui Kama ni kosa au sio kosa
Najiamini 100%na Sina kasoro. Ila kuchepuka sio kipaji changuUkiona huchepuki hujiamini !
Unawaza ukichepuka utaonekana kasoro zako kwa hio itakua noma.... tena usishangae hata wakati wa mambo yetu lazima uzime taa
mi napenda kukukumbuka kwenye fursaMpendwa hunitakii mema mwenzio. Unaona kabisa kuwa ni Super Women(sijui wako wangapi), halafu ni revised version(2).....
![]()
Najiamini 100%na Sina kasoro. Ila kuchepuka sio kipaji changu
Kikubwa ni kujiheshimu na kumuheshimu ulie naeHongera. Ndo inavyotakiwa
Nipo single,
Sio mchepukaji,
Na sijatumika Sana,
![]()
Umemsumbua tu kumtag. Maana hapa hata hamna fursami napenda kukukumbuka kwenye fursa
Unaniruhusu nikutongoze kabla hujaanza kutafuta mwanaume?????BADO SIJAJA NA TANGAZO LA KUTAFUTA MCHUMBA. lisubirie mpaka January /2018 huenda nikalileta hapa.
Ndoi nipo single. Kwani ukiwa single muheshimiwa makonda atakuita central.. Ndo kidogo ningetishika kutaja kwamba nipo single. Pigia msitariNadhani hili ndilo lengo, kwamba uko single.
Haya. Uje na mrejeshoNgoja nijikague kama nshawahi chepuka...
Mimi mwenyewe naweza kukutongoza. Huko mtaani kwenu hamna wa kuwatongoza...U
Unaniruhusu nikutongoze kabla hujaanza kutafuta mwanaume?????
mi napenda kukukumbuka kwenye fursa
Ndoi nipo single. Kwani ukiwa single muheshimiwa makonda atakuita central.. Ndo kidogo ningetishika kutaja kwamba nipo single. Pigia msitari
Kwanini hauitaji mahusiano kwasasa??Nipo single,
Sio mchepukaji,
Sihitaji mahisiano kwa sasa,
Na sijatumika Sana,
Jivunie ulichonacho.. Kwa hiyo Mimi najivuna.![]()
Na hiko ndicho unachokimaanisha kwasasa,Ila siku nikiamua sasa kuingia kwenye mahusiano ntakuja na BANGO KUBWA. NATAFUTA MCHUMBA.......
Jay Sean -Down DownNilikosea hapo
Story yake ILIKUWA kama yangu![]()