Wangapi hatujawahi kuchepuka katika mahusiano yetu?

Wangapi hatujawahi kuchepuka katika mahusiano yetu?

Hakuna faida ya kuchepuka zaidi ya hasara na jakamoyo! Tulizana
 
Tangazo lako limeshaonekana kwamba
1.UPO SINGLE
2.HAUCHEPUKI
3.UNAHAMU YA KUINGIA TENA KWENYE MAHUSIANO ILA HAUJAPATA MPENZI
4.HAUJATUMIKA SANA COZ ULIKUWA NA MPENZI MMOJA TU.
Haya sasa, mabazazi wa JF kazi kwenu
 
Tangazo lako limeshaonekana kwamba
1.UPO SINGLE
2.HAUCHEPUKI
3.UNAHAMU YA KUINGIA TENA KWENYE MAHUSIANO ILA HAUJAPATA MPENZI
4.HAUJATUMIKA SANA COZ ULIKUWA NA MPENZI MMOJA TU.
Haya sasa, mabazazi wa JF kazi kwenu
Nipo single,
Sio mchepukaji,
Sihitaji mahisiano kwa sasa,
Na sijatumika Sana,
Jivunie ulichonacho.. Kwa hiyo Mimi najivuna.
 
Msema ukweli mpenzi wa MUNGU. Nilishawahi kuwa kwenye mahisiano na mwanaume mmoja na ndo alie kuwa mwanaume wangu wa Kwanza na baadae niliachana nae.
Sijawahi kuchepuka,baada ya yeye kuwa na tabia za kuchepuka nikaachana nae...na sitakuwa mchepukaji hata nikiingia tena kwenye mapenzi katu.. Kuchepuka ni kipaji.. Je wewe unaweza kuwa na mwanaume/mwanamke mmoja bila kuchepuka... ???

Kumbuka unaposema uongo.MUNGU anakuona
Hilo tangazo lako la kutafuta mwanaume umelipia???
 
Tangazo lako limeshaonekana kwamba
1.UPO SINGLE
2.HAUCHEPUKI
3.UNAHAMU YA KUINGIA TENA KWENYE MAHUSIANO ILA HAUJAPATA MPENZI
4.HAUJATUMIKA SANA COZ ULIKUWA NA MPENZI MMOJA TU.
Haya sasa, mabazazi wa JF kazi kwenu
Ila siku nikiamua sasa kuingia kwenye mahusiano ntakuja na BANGO KUBWA. NATAFUTA MCHUMBA.......
 
Msema ukweli mpenzi wa MUNGU. Nilishawahi kuwa kwenye mahisiano na mwanaume mmoja na ndo alie kuwa mwanaume wangu wa Kwanza na baadae niliachana nae.
Sijawahi kuchepuka,baada ya yeye kuwa na tabia za kuchepuka nikaachana nae...na sitakuwa mchepukaji hata nikiingia tena kwenye mapenzi katu.. Kuchepuka ni kipaji.. Je wewe unaweza kuwa na mwanaume/mwanamke mmoja bila kuchepuka... ???

Kumbuka unaposema uongo.MUNGU anakuona
Story yako kama yangu
 
Msema ukweli mpenzi wa MUNGU. Nilishawahi kuwa kwenye mahisiano na mwanaume mmoja na ndo alie kuwa mwanaume wangu wa Kwanza na baadae niliachana nae.
Sijawahi kuchepuka,baada ya yeye kuwa na tabia za kuchepuka nikaachana nae...na sitakuwa mchepukaji hata nikiingia tena kwenye mapenzi katu.. Kuchepuka ni kipaji.. Je wewe unaweza kuwa na mwanaume/mwanamke mmoja bila kuchepuka... ???

Kumbuka unaposema uongo.MUNGU anakuona

Ukiona huchepuki hujiamini !
Unawaza ukichepuka utaonekana kasoro zako kwa hio itakua noma.... tena usishangae hata wakati wa mambo yetu lazima uzime taa
 
Back
Top Bottom