Wandugu wa jukwaa lengwa naombeni msaada kwa hili!

LiverpoolFC

JF-Expert Member
Apr 12, 2011
11,348
3,219
Je? Sheria ya hapa Nchini inasemaje kuhusu raia wa kigeni aliyefika hapa Nchini na hakupata uraia bali ana pass ya kusafiria, Anaweza akanunua makazi yoyote ikawa mali yake?
Tuseme anataka kiwanja na kiwanja kina nyumba ya kuishi ndani,anaweza akanunua na akawa mmiliki halali ingali si raia halisi?

Naombeni mwenye uelewa na hili anidodose itakavyokuwa.

Ni hilo tu Ndg zanguni maana naamini JF ni mambo yote!

Pamoja sanaaaaa!
 
Hairuhusiwi na kinyume cha sheria ya Ardhi Na.4 ya 1999 kwa mtu yeyote asiye raia kumiliki ardhi nchini. Isipokuwa kma ni mwekezaji anaweza akapewa derivative right(sect 20 of the Land Act).
 
Back
Top Bottom