Wandugu naombeni ushauri wenu:

endelea kushika pembe. Ally akibadili jini anachukua kifaa chake. Kwanza inaònyesha familia ya binti haina tatizo na ally
 
huyo dada bado hajajua anachokitaka,ila since amekuambia umpe muda ajifikirie subiri huo muda upite then muongee.
kwa ushauri tu anza kumpunguza kwenye mawazo yako coz inaonekana SHE DOESNT KNOW WHAT SHE WANTS na kwako hayuko kihiiiiiiivyo,hakawii kumrudia ally.
 
huyo dada bado hajajua anachokitaka,ila since amekuambia umpe muda ajifikirie subiri huo muda upite then muongee.
kwa ushauri tu anza kumpunguza kwenye mawazo yako coz inaonekana SHE DOESNT KNOW WHAT SHE WANTS na kwako hayuko kihiiiiiiivyo,hakawii kumrudia ally.
asante kwa ushauri mzuri.
Tayari nishaanza kufanya maamuzi madogo madogo.
 
Nilikuwa na rafiki wa kike(mwalimu) kwa muda wa miezi kama 3 hivi tokea tuanze uhusiano wetu,Wiki 2 zilizo pita alienda kumuona mama yake kijijini,baada ya jufika huko katika maongezi tu ya kawaida na kaka yake,akamuuliza maswala ya mahusiano(relation) binti akamwambia kaka yake kuwa yupo na mimi(kuna maelezo mengine aliyatoa nadhani),baada ya kumjibu hivyo kakamtu akamuuliza vipi kuhusu Ally?umemwambia?isije akawa anakusubiria kumbe wewe tayari unamtu mwingine.(Ally ni jamaa ambaye binti alikuwa naye kabla yangu) kwa kifupi alishawahi kuniambia pindi namtokea.

Binti bila kutuliza akili akampigia simu Ally (yupo mwanza kwa sasa) nakumuuleza kwa kirefu kuwa its over,Jamaaa akaja juu kwanini?ahaaa kama ndio hivyo me nipo tayari kubadili dini mambo mengi yakaongelewa kwa mujibu wa binti.Binti akarudi Dar es salaam kutoka kijijini,alivyo rudi tu siku ya kwanza nikagundua kitu,alikuwa amebadilika(kwa wale wataalamu watakuwa wananilewa)yaani anakuwa tofauti katika mazingira ya kutatanisha(ghafla) nikamuuliza kulikoni?akujibu,nikaondoka,sijafika mbali nikapigiwa simu kucheki namba ni mpya ,nikapokea nakuuliza nani?akijibu ally,ally?

kutoka wapi ahaa mi nipo mwanza nimepeta namba yako kwa .....,nikamwambia piga kesho sasa hivi nipo sehemu mbaya atutasikilizana(ili nipate muda wa kumuuliza binti inakuaaje umempa namba yangu ally na mambo mengine kuwa kuna nini kinaendelea)nikarudi tena kwa binti nikamuuliza vipi kuna nini kinaendelea,binti akaanza kuangusha chozi jingi sana mara haaa mnanchanganya sijui nini maneno mengi sana,nikamuuliza anaye kuchanganya nani?kama sio wewe mwenyewe ndio unajichanganya?Wewe ndio wakufanya maamuzi sio kuanza kulia nakuzuga hapa,hakuna anaye kuchanganya hapa,mara najuta kwanini nilifuata ushauri wa kaka.Tokea hapo binti ameniambia nimuache kwanza hadi atakapo tulia.

Sasa wana jf naombeni ushauri wenu binti ndio kama hivyo tena nasababu ya kuachana na Ally ilikuwa ni dini tu na sio sababu nyingine,na jamaa ajanipigia tena simu hadi leo.

KAKA KAKA KAKA, TAFADHARI NISIKILIZE. HUNIJUI WALA SIKUJUI. UMEOMBA USHAURI NAMI NAKUPATIA.
Ukisikia unao halafu mkeo anachukuliwa na aliyekuwa boy friend wake huwa yananzia hapo. Kama angekuwa na msimamo juu yako, angeuweka wazi na huyo Ally asingepewa namba yako. Jiweke pembeni, demu haeleweki, ukipuuza ipo siku yatakukuta na utanikumbuka japo hatujuani. Sikaki kukuchosha ni hayo tu
 
Nilikuwa na rafiki wa kike(mwalimu) kwa muda wa miezi kama 3 hivi tokea tuanze uhusiano wetu,Wiki 2 zilizo pita alienda kumuona mama yake kijijini,baada ya jufika huko katika maongezi tu ya kawaida na kaka yake,akamuuliza maswala ya mahusiano(relation) binti akamwambia kaka yake kuwa yupo na mimi(kuna maelezo mengine aliyatoa nadhani),baada ya kumjibu hivyo kakamtu akamuuliza vipi kuhusu Ally?umemwambia?isije akawa anakusubiria kumbe wewe tayari unamtu mwingine.(Ally ni jamaa ambaye binti alikuwa naye kabla yangu) kwa kifupi alishawahi kuniambia pindi namtokea.<br />
<br />
Binti bila kutuliza akili akampigia simu Ally (yupo mwanza kwa sasa) nakumuuleza kwa kirefu kuwa its over,Jamaaa akaja juu kwanini?ahaaa kama ndio hivyo me nipo tayari kubadili dini mambo mengi yakaongelewa kwa mujibu wa binti.Binti akarudi Dar es salaam kutoka kijijini,alivyo rudi tu siku ya kwanza nikagundua kitu,alikuwa amebadilika(kwa wale wataalamu watakuwa wananilewa)yaani anakuwa tofauti katika mazingira ya kutatanisha(ghafla) nikamuuliza kulikoni?akujibu,nikaondoka,sijafika mbali nikapigiwa simu kucheki namba ni mpya ,nikapokea nakuuliza nani?akijibu ally,ally?<br />
<br />
kutoka wapi ahaa mi nipo mwanza nimepeta namba yako kwa .....,nikamwambia piga kesho sasa hivi nipo sehemu mbaya atutasikilizana(ili nipate muda wa kumuuliza binti inakuaaje umempa namba yangu ally na mambo mengine kuwa kuna nini kinaendelea)nikarudi tena kwa binti nikamuuliza vipi kuna nini kinaendelea,binti akaanza kuangusha chozi jingi sana mara haaa mnanchanganya sijui nini maneno mengi sana,nikamuuliza anaye kuchanganya nani?kama sio wewe mwenyewe ndio unajichanganya?Wewe ndio wakufanya maamuzi sio kuanza kulia nakuzuga hapa,hakuna anaye kuchanganya hapa,mara najuta kwanini nilifuata ushauri wa kaka.Tokea hapo binti ameniambia nimuache kwanza hadi atakapo tulia.<br />
<br />
Sasa wana jf naombeni ushauri wenu binti ndio kama hivyo tena nasababu ya kuachana na Ally ilikuwa ni dini tu na sio sababu nyingine,na jamaa ajanipigia tena simu hadi leo.
<br />
<br />
acha ujinga mamuzi unayo mwenyewe
 
endelea kushika pembe. Ally akibadili jini anachukua kifaa chake. Kwanza inaònyesha familia ya binti haina tatizo na ally

Sina wasi wasi badili tabia,kikubwa na mimi tayari nishagonga muhuri,sasa hivi naangali mbele kwa mbele.
 
KAKA KAKA KAKA, TAFADHARI NISIKILIZE. HUNIJUI WALA SIKUJUI. UMEOMBA USHAURI NAMI NAKUPATIA.
Ukisikia unao halafu mkeo anachukuliwa na aliyekuwa boy friend wake huwa yananzia hapo. Kama angekuwa na msimamo juu yako, angeuweka wazi na huyo Ally asingepewa namba yako. Jiweke pembeni, demu haeleweki, ukipuuza ipo siku yatakukuta na utanikumbuka japo hatujuani. Sikaki kukuchosha ni hayo tu


kakaaaaaa kakaaaa hapo kwenye blue nimepapenda sana,
ushauri mzuri sasa hivi ananiambia anamuomba mungu amuonyeshe yupi mwanaume wa kweli.
 
huyo dada bado hajajua anachokitaka,ila since amekuambia umpe muda ajifikirie subiri huo muda upite then muongee.
kwa ushauri tu anza kumpunguza kwenye mawazo yako coz inaonekana SHE DOESNT KNOW WHAT SHE WANTS na kwako hayuko kihiiiiiiivyo,hakawii kumrudia ally.

anasema niombe sana mungu kama nataka kuwa naye .
 
kutoka wapi ahaa mi nipo mwanza nimepeta namba yako kwa .....,nikamwambia piga kesho sasa hivi nipo sehemu mbaya atutasikilizana(ili nipate muda wa kumuuliza binti inakuaaje umempa namba yangu ally na mambo mengine kuwa kuna nini kinaendelea)nikarudi tena kwa binti nikamuuliza vipi kuna nini kinaendelea,binti akaanza kuangusha chozi jingi sana mara haaa mnanchanganya sijui nini maneno mengi sana,nikamuuliza anaye kuchanganya nani?kama sio wewe mwenyewe ndio unajichanganya?Wewe ndio wakufanya maamuzi sio kuanza kulia nakuzuga hapa,hakuna anaye kuchanganya hapa,mara najuta kwanini nilifuata ushauri wa kaka.Tokea hapo binti ameniambia nimuache kwanza hadi atakapo tulia.

Sasa wana jf naombeni ushauri wenu binti ndio kama hivyo tena nasababu ya kuachana na Ally ilikuwa ni dini tu na sio sababu nyingine,na jamaa ajanipigia tena simu hadi leo.


Nakupa siri moja ambayo nimakosa makubwa saana nafanya... but hata hivo kwa kukusaidia.. Sie wanawake hutumia saana mioyo yetu katika maamuzi kama hayo, (hivyo saa ingine hutuchanganya mpaka unapoteza track ni nini kimekuchanganya) ni tofauti na kama uki analyse kwa kutumia vigezo ili upate jibu; Na huyo dada jinsi ninavoona - ni kua hata yeye haelewi ni nini/nani anataka... Kama wampenda na she is worth it naamini kabisa ukigangamaa kiume - Ally hapati kitu hapo; Ukizingatia yupo Mwanza na wewe upo nae dada karibu... Hivo una Great advantage ya kumuweka sawa na abaki na wewe..
 
Nakupa siri moja ambayo nimakosa makubwa saana nafanya... but hata hivo kwa kukusaidia.. Sie wanawake hutumia saana mioyo yetu katika maamuzi kama hayo, (hivyo saa ingine hutuchanganya mpaka unapoteza track ni nini kimekuchanganya) ni tofauti na kama uki analyse kwa kutumia vigezo ili upate jibu; Na huyo dada jinsi ninavoona - ni kua hata yeye haelewi ni nini/nani anataka... Kama wampenda na she is worth it naamini kabisa ukigangamaa kiume - Ally hapati kitu hapo; Ukizingatia yupo Mwanza na wewe upo nae dada karibu... Hivo una Great advantage ya kumuweka sawa na abaki na wewe..
Kwahiyo na mimi nina advantage kwako kwa kuwa tupo wote hapa JF? if yes nianze mchakato haraka..........
 
mhh miezi mitatu sio mingi kihiiivyo sio mbaya kama uki step down huta umia sana
ila hiyo mihuri 12 mingi sana ingatakiwa akubanie kama mwaka hiv ndo angeachia
 
still unampenda na kumhitaji huyu mwanamke???

anaonyesha hana msimamo katika maamuzi na mapenzi
 
Nakupa siri moja ambayo nimakosa makubwa saana nafanya... but hata hivo kwa kukusaidia.. Sie wanawake hutumia saana mioyo yetu katika maamuzi kama hayo, (hivyo saa ingine hutuchanganya mpaka unapoteza track ni nini kimekuchanganya) ni tofauti na kama uki analyse kwa kutumia vigezo ili upate jibu; Na huyo dada jinsi ninavoona - ni kua hata yeye haelewi ni nini/nani anataka... Kama wampenda na she is worth it naamini kabisa ukigangamaa kiume - Ally hapati kitu hapo; Ukizingatia yupo Mwanza na wewe upo nae dada karibu... Hivo una Great advantage ya kumuweka sawa na abaki na wewe..

Ashadii:umeongea busara sana sana,nimejaribu kugangamala kama unavyo sema kwa wiki tatu,mtoto aelekei kabisa,na sasa hivi anakwambia haya mambo yote amemkabidhi mungu,kwa hiyo kasema hata mimi nikitaka kuendelea kuwa naye lazima nimuombe mungu sana,sasa hapo sijui unasema ashadii?

na hata katika maongezi yake anasema hakuna mtu aliyemkosea kwa sote wawili,lakini yeye anakabidhi hili swala kwa mungu aweze kufanya maamuzi sahihi,kuwa yupi bora na yupi mwenye dhamira ya kweli...
 
Mpe muda huyo binti ajifikirie yupo wapi.

kwa siku hizi chache tu za wiki kama 3 hivi anaonesha kuwa yupo upande wa ally,ila sasa anashindwa kuniambia,na sababu kubwa anayo itoa yeye ni kuwa ally alikuwa naye kwa muda mrefu sana kama miaka 3 hivi,nawalitofautiana dini tu na si kitu kingine,sasahivi ally kasikia kama mimi nachakachua anasema yupo tayari kubadili dini na kuwa mkristo,binti maswali mengi yanamjia kichwani kwake,kwanini akubadili dini hadi alipo sikia kuwa nipo na mtu mwingine?
 
Back
Top Bottom