BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,163
endelea kushika pembe. Ally akibadili jini anachukua kifaa chake. Kwanza inaònyesha familia ya binti haina tatizo na ally
asante kwa ushauri mzuri.huyo dada bado hajajua anachokitaka,ila since amekuambia umpe muda ajifikirie subiri huo muda upite then muongee.
kwa ushauri tu anza kumpunguza kwenye mawazo yako coz inaonekana SHE DOESNT KNOW WHAT SHE WANTS na kwako hayuko kihiiiiiiivyo,hakawii kumrudia ally.
W e subiri tu.
Nilikuwa na rafiki wa kike(mwalimu) kwa muda wa miezi kama 3 hivi tokea tuanze uhusiano wetu,Wiki 2 zilizo pita alienda kumuona mama yake kijijini,baada ya jufika huko katika maongezi tu ya kawaida na kaka yake,akamuuliza maswala ya mahusiano(relation) binti akamwambia kaka yake kuwa yupo na mimi(kuna maelezo mengine aliyatoa nadhani),baada ya kumjibu hivyo kakamtu akamuuliza vipi kuhusu Ally?umemwambia?isije akawa anakusubiria kumbe wewe tayari unamtu mwingine.(Ally ni jamaa ambaye binti alikuwa naye kabla yangu) kwa kifupi alishawahi kuniambia pindi namtokea.
Binti bila kutuliza akili akampigia simu Ally (yupo mwanza kwa sasa) nakumuuleza kwa kirefu kuwa its over,Jamaaa akaja juu kwanini?ahaaa kama ndio hivyo me nipo tayari kubadili dini mambo mengi yakaongelewa kwa mujibu wa binti.Binti akarudi Dar es salaam kutoka kijijini,alivyo rudi tu siku ya kwanza nikagundua kitu,alikuwa amebadilika(kwa wale wataalamu watakuwa wananilewa)yaani anakuwa tofauti katika mazingira ya kutatanisha(ghafla) nikamuuliza kulikoni?akujibu,nikaondoka,sijafika mbali nikapigiwa simu kucheki namba ni mpya ,nikapokea nakuuliza nani?akijibu ally,ally?
kutoka wapi ahaa mi nipo mwanza nimepeta namba yako kwa .....,nikamwambia piga kesho sasa hivi nipo sehemu mbaya atutasikilizana(ili nipate muda wa kumuuliza binti inakuaaje umempa namba yangu ally na mambo mengine kuwa kuna nini kinaendelea)nikarudi tena kwa binti nikamuuliza vipi kuna nini kinaendelea,binti akaanza kuangusha chozi jingi sana mara haaa mnanchanganya sijui nini maneno mengi sana,nikamuuliza anaye kuchanganya nani?kama sio wewe mwenyewe ndio unajichanganya?Wewe ndio wakufanya maamuzi sio kuanza kulia nakuzuga hapa,hakuna anaye kuchanganya hapa,mara najuta kwanini nilifuata ushauri wa kaka.Tokea hapo binti ameniambia nimuache kwanza hadi atakapo tulia.
Sasa wana jf naombeni ushauri wenu binti ndio kama hivyo tena nasababu ya kuachana na Ally ilikuwa ni dini tu na sio sababu nyingine,na jamaa ajanipigia tena simu hadi leo.
<br />Nilikuwa na rafiki wa kike(mwalimu) kwa muda wa miezi kama 3 hivi tokea tuanze uhusiano wetu,Wiki 2 zilizo pita alienda kumuona mama yake kijijini,baada ya jufika huko katika maongezi tu ya kawaida na kaka yake,akamuuliza maswala ya mahusiano(relation) binti akamwambia kaka yake kuwa yupo na mimi(kuna maelezo mengine aliyatoa nadhani),baada ya kumjibu hivyo kakamtu akamuuliza vipi kuhusu Ally?umemwambia?isije akawa anakusubiria kumbe wewe tayari unamtu mwingine.(Ally ni jamaa ambaye binti alikuwa naye kabla yangu) kwa kifupi alishawahi kuniambia pindi namtokea.<br />
<br />
Binti bila kutuliza akili akampigia simu Ally (yupo mwanza kwa sasa) nakumuuleza kwa kirefu kuwa its over,Jamaaa akaja juu kwanini?ahaaa kama ndio hivyo me nipo tayari kubadili dini mambo mengi yakaongelewa kwa mujibu wa binti.Binti akarudi Dar es salaam kutoka kijijini,alivyo rudi tu siku ya kwanza nikagundua kitu,alikuwa amebadilika(kwa wale wataalamu watakuwa wananilewa)yaani anakuwa tofauti katika mazingira ya kutatanisha(ghafla) nikamuuliza kulikoni?akujibu,nikaondoka,sijafika mbali nikapigiwa simu kucheki namba ni mpya ,nikapokea nakuuliza nani?akijibu ally,ally?<br />
<br />
kutoka wapi ahaa mi nipo mwanza nimepeta namba yako kwa .....,nikamwambia piga kesho sasa hivi nipo sehemu mbaya atutasikilizana(ili nipate muda wa kumuuliza binti inakuaaje umempa namba yangu ally na mambo mengine kuwa kuna nini kinaendelea)nikarudi tena kwa binti nikamuuliza vipi kuna nini kinaendelea,binti akaanza kuangusha chozi jingi sana mara haaa mnanchanganya sijui nini maneno mengi sana,nikamuuliza anaye kuchanganya nani?kama sio wewe mwenyewe ndio unajichanganya?Wewe ndio wakufanya maamuzi sio kuanza kulia nakuzuga hapa,hakuna anaye kuchanganya hapa,mara najuta kwanini nilifuata ushauri wa kaka.Tokea hapo binti ameniambia nimuache kwanza hadi atakapo tulia.<br />
<br />
Sasa wana jf naombeni ushauri wenu binti ndio kama hivyo tena nasababu ya kuachana na Ally ilikuwa ni dini tu na sio sababu nyingine,na jamaa ajanipigia tena simu hadi leo.
<br /><br /><br />
<br /><br />
acha ujinga mamuzi unayo mwenyewe
endelea kushika pembe. Ally akibadili jini anachukua kifaa chake. Kwanza inaònyesha familia ya binti haina tatizo na ally
<br />
<br />
acha ujinga mamuzi unayo mwenyewe
KAKA KAKA KAKA, TAFADHARI NISIKILIZE. HUNIJUI WALA SIKUJUI. UMEOMBA USHAURI NAMI NAKUPATIA.
Ukisikia unao halafu mkeo anachukuliwa na aliyekuwa boy friend wake huwa yananzia hapo. Kama angekuwa na msimamo juu yako, angeuweka wazi na huyo Ally asingepewa namba yako. Jiweke pembeni, demu haeleweki, ukipuuza ipo siku yatakukuta na utanikumbuka japo hatujuani. Sikaki kukuchosha ni hayo tu
huyo dada bado hajajua anachokitaka,ila since amekuambia umpe muda ajifikirie subiri huo muda upite then muongee.
kwa ushauri tu anza kumpunguza kwenye mawazo yako coz inaonekana SHE DOESNT KNOW WHAT SHE WANTS na kwako hayuko kihiiiiiiivyo,hakawii kumrudia ally.
kutoka wapi ahaa mi nipo mwanza nimepeta namba yako kwa .....,nikamwambia piga kesho sasa hivi nipo sehemu mbaya atutasikilizana(ili nipate muda wa kumuuliza binti inakuaaje umempa namba yangu ally na mambo mengine kuwa kuna nini kinaendelea)nikarudi tena kwa binti nikamuuliza vipi kuna nini kinaendelea,binti akaanza kuangusha chozi jingi sana mara haaa mnanchanganya sijui nini maneno mengi sana,nikamuuliza anaye kuchanganya nani?kama sio wewe mwenyewe ndio unajichanganya?Wewe ndio wakufanya maamuzi sio kuanza kulia nakuzuga hapa,hakuna anaye kuchanganya hapa,mara najuta kwanini nilifuata ushauri wa kaka.Tokea hapo binti ameniambia nimuache kwanza hadi atakapo tulia.
Sasa wana jf naombeni ushauri wenu binti ndio kama hivyo tena nasababu ya kuachana na Ally ilikuwa ni dini tu na sio sababu nyingine,na jamaa ajanipigia tena simu hadi leo.
Kwahiyo na mimi nina advantage kwako kwa kuwa tupo wote hapa JF? if yes nianze mchakato haraka..........Nakupa siri moja ambayo nimakosa makubwa saana nafanya... but hata hivo kwa kukusaidia.. Sie wanawake hutumia saana mioyo yetu katika maamuzi kama hayo, (hivyo saa ingine hutuchanganya mpaka unapoteza track ni nini kimekuchanganya) ni tofauti na kama uki analyse kwa kutumia vigezo ili upate jibu; Na huyo dada jinsi ninavoona - ni kua hata yeye haelewi ni nini/nani anataka... Kama wampenda na she is worth it naamini kabisa ukigangamaa kiume - Ally hapati kitu hapo; Ukizingatia yupo Mwanza na wewe upo nae dada karibu... Hivo una Great advantage ya kumuweka sawa na abaki na wewe..
Nakupa siri moja ambayo nimakosa makubwa saana nafanya... but hata hivo kwa kukusaidia.. Sie wanawake hutumia saana mioyo yetu katika maamuzi kama hayo, (hivyo saa ingine hutuchanganya mpaka unapoteza track ni nini kimekuchanganya) ni tofauti na kama uki analyse kwa kutumia vigezo ili upate jibu; Na huyo dada jinsi ninavoona - ni kua hata yeye haelewi ni nini/nani anataka... Kama wampenda na she is worth it naamini kabisa ukigangamaa kiume - Ally hapati kitu hapo; Ukizingatia yupo Mwanza na wewe upo nae dada karibu... Hivo una Great advantage ya kumuweka sawa na abaki na wewe..
Mpe muda huyo binti ajifikirie yupo wapi.