Wanayanga wenzangu huyu Kouma mnamwonaje?

Wanayanga wenzangu huyu Kouma mnamwonaje?

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
11,180
Reaction score
22,801
Nmeona ingizo jipya la huyu Kouma (tamka K with U) je mnamwonaje? Anaweza kutufikisha mbali? Maana tayari kuna team Kouma imejipambanua ikimpigia debe na kutangaza jersey yake mgongoni na jina lake kuuuuubwa.
 
Nmeona ingizo jipya la huyu Kouma (tamka K with U) je mnamwonaje? Anaweza kutufikisha mbali? Maana tayari kuna team Kouma imejipambanua ikimpigia debe na kutangaza jersey yake mgongoni na jina lake kuuuuubwa.
mbumbumbu fc wajiandae kuliwa na kouma!
 
Che,mpanzu,ngoma,deborah,zimbwe jr, wote hawapo unafikiri kina mutale ndio wakombozi wa simba. Simba sasa ni mfu.
 
Nmeona ingizo jipya la huyu Kouma (tamka K with U) je mnamwonaje? Anaweza kutufikisha mbali? Maana tayari kuna team Kouma imejipambanua ikimpigia debe na kutangaza jersey yake mgongoni na jina lake kuuuuubwa.
Binafsi sina shida na Kou-Magic na uwezo wake. Hofu yangu ni huyo striker Celestin Ecua ndio nahisi tumechamba hapo. Jamaa namuona wa kawaida sana na sioni akifanya vizuri. Labda tusubiri muda useme
 
Binafsi sina shida na Kou-Magic na uwezo wake. Hofu yangu ni huyo striker Celestin Ecua ndio nahisi tumechamba hapo. Jamaa namuona wa kawaida sana na sioni akifanya vizuri. Labda tusubiri muda useme
Hata huyo Kouma ni wa kawaida,... ni ngumu kupata mbadala wa top quality player kama Stephane Aziz Ki
 
Kwenye usajili ni kamali
Ila waliomuona wanasema ni fundi
Max alikuja wengi hatukumtabiria mazuri ila bidii yake alitu prove wrong wengi

Kwaiyo tungoje muda ifike tutapata majibu mazuri
 
Hata huyo Kouma ni wa kawaida,... ni ngumu kupata mbadala wa top quality player kama Stephane Aziz Ki
Azizi Ki kabla ya kumuona akichezea Yanga, je hapo awali ulimuona kama top quality player? Acheni muda utoe majibu msijifanye mnajua sana ya mbeleni.
 
Azizi Ki kabla ya kumuona akichezea Yanga, je hapo awali ulimuona kama top quality player? Acheni muda utoe majibu msijifanye mnajua sana ya mbeleni.
Hahh kwahiyo Aziz Ki hukumtizama akiwa Asec Mimosas? kama umeanza kumuona akiwa Yanga basi upo sahihi
 
Nyuma yako ndani yako.... Endelea kuinama hivyo hivyo....
Mashoga utayajua tu.

Vitendo wanavyofanyiwa wao vya kuinamishwa wanadhani kila mtu anafanyiwa.

Ndugu kolo ukiinamishwa unapata faida gani?
 
Back
Top Bottom