Jbst
JF-Expert Member
- Nov 29, 2020
- 1,926
- 3,951
Kiukweli baada ya hii game ya medeam narudia tena kusema yanga inahitaji wacheza 4.
1.Winga mwenye ubunifu wa kumiliki mpira,kasi na winga anayelifuata box la adui akiwa na mpira. Sijui tutampata wapi lkn anahitajika winga. Piga chini moloko
2. Holding midfielder mwepesi na mwenye ubora ili Aucho akacheze central midfielder
3. Striker aina ya Mayele au kama huyo striker wa medeama anafaa sana ana nguvu, mwepesi, analijua goli na hata ukimpa mbaya anapokea.
4. Beki wa kushoto mrefu mwenye nguvu, anaweza panda na kushuka kwa uwiano sawa kama yule mwinyi haji beki wa zaman wa yanga.
Kikos chetu kwa level ya champion liague kina bado sana.
Kingine Gamond ni kocha mzuri lakini hana mbinu kulingana na mechi husika, Nabi alikua anabadilika kulingana na mpinzani alivyo na alikua hatabiriki kabsa ila gamond mh!!
Kwa msimu huu habar yetu imeishia hapa, medeama kama wakipata sare dhidi yetu hapa taifa nina uhakika watafuzu, hawa wanaweza pata matokeo kule algeria.
Ikitokea tumefuzu itakua maajabu kweli kweli lkn naon tumeishia hapa kwa msim huu.
1.Winga mwenye ubunifu wa kumiliki mpira,kasi na winga anayelifuata box la adui akiwa na mpira. Sijui tutampata wapi lkn anahitajika winga. Piga chini moloko
2. Holding midfielder mwepesi na mwenye ubora ili Aucho akacheze central midfielder
3. Striker aina ya Mayele au kama huyo striker wa medeama anafaa sana ana nguvu, mwepesi, analijua goli na hata ukimpa mbaya anapokea.
4. Beki wa kushoto mrefu mwenye nguvu, anaweza panda na kushuka kwa uwiano sawa kama yule mwinyi haji beki wa zaman wa yanga.
Kikos chetu kwa level ya champion liague kina bado sana.
Kingine Gamond ni kocha mzuri lakini hana mbinu kulingana na mechi husika, Nabi alikua anabadilika kulingana na mpinzani alivyo na alikua hatabiriki kabsa ila gamond mh!!
Kwa msimu huu habar yetu imeishia hapa, medeama kama wakipata sare dhidi yetu hapa taifa nina uhakika watafuzu, hawa wanaweza pata matokeo kule algeria.
Ikitokea tumefuzu itakua maajabu kweli kweli lkn naon tumeishia hapa kwa msim huu.