yani hili baraza liko weak sana,hivi huyu machemli angeweza kweli bomoabomoa kama ya magufuli! jamani tuache ushabiki hili baraza lisingetufikisha popote yani hapo naona vichwa viwili tuu au nchi ingeongozwa na kina sabodo au maaumuzi magumu kutoka kwa pengo au vatican
Kaka acha ussumptions hapa. wewe siunawajua walioshinda na walioshindwa ebu tupe list ya mawaziri kwa ufahamu wako
Sishangai!!Sijaona chochote hapo zaidi ya ukanda, udugu na udini
Mbona Idi Amini aliweza?
Bokasa
Nguema
Seseseko
Banda
Moi
NK:angry:
bwana mdogo Joseph Kabila (29yrs) aliweza..........
kaka hujui kama wadhamini wa chadema kama ni hao jamaa aliowataja Kashaga? Na pia akina Pengo wanajicholesha wanapoonekana kifua mbele kukitetea chadema. wao kama viongozi wa kiroho hawatakiwi kuonesha hisia zao dhahiri shahiri.Mnaowashangilia waangalieni sana wasituletee ya rwanda, maana walianza hivohivo.
The U.N. Stabilization Mission in the DRC said it was stepping up its presence in the area. At least 8,000 rapes were reported by humanitarian agencies in the DRC in 2010...
Kama Sophia Simba ameweza kwa nini wasiweze
Kama Sophia Simba ameweza kwa nini wasiweze
Nililiangalia baraza kivuli la mawaziri lililoundwa na upinzani bungeni.. nikaassume endapo kama Dr. Slaa angepita hili ndilo lingekua baraza lake la mawaziri..
Msemaji ofisi ya Raisi: Freeman Mbowe,
Msaidizi: Silinde David
Uwekezaji na Uwezeshaji: Matiko
Ofisi ya Waziri Mkuu: Vicent Kiboko
Ofisi ya Raisi: Said
Ofisi ya Raisi & Utawala Bora: Mch Nakse wa Karatu
Ofisi ya Makamu wa Raisi: Gekulu
Ofisi ya Raisi & Mazingira: Leticia Nyerere
OFisi ya Fedha: Zitto Kabwe Msaidizi: Christina Lissu
Mambo ya Ndani: Lema
Katiba ya Sheria: Tindu Lissu
Kimataifa: Wenje
Jeshi la Ulinzi: Seladhini
Mawasiliano: prof Kayili
Makazi: Mdee
Maliasili: Mch Peter Msigwa
Nishat na Madini: Mnyika
Ujenzi: Machemli
Uchukuzi: Mhonga Said
Viwanda: Olenywa
Elimu na Mfunzo: Mtinda
Afya: Dr Gilbert Mbasa
Maendeleo ya Jamii: Naomi Kaiula
Vijana na michezo: Mbilinyi Mr Two
Kilimo: Meshack Obulugwa
Maji: Haines Kiwia
NB:- Kama kutakua na changes ni kidogo sana!.
Tujiulize viongozi hawa wangetufikisha tunakoenda?? Manung'uniko, migogoro, majanga, umasikini na kuzorota kwa elimu na mengine kama haya yangeendelea kuwepo au wangefanikiwa kuyakabili??..
Jibu gumu swali rahisi.
CHADEMA wangeshinda nafasi ya Uraisi kwa idadi hiy hiyo ya wabunge? Huoni factors ambazo zingewawezesha CDM kushinda uraisi zingewawezesha kushinda nafasi nyingi zaidi ya wabunge hivyo mawaziri wangetoka kwenye pool kubwa zaidi? Na kama Dr. Slaa angeshinda angeteua wabunge kumi kwa mujibu wa Katiba huoni kwamba angeweza kuteua watu wenye uwezo pia kama hao mawaziri vivuli hawawezi?
Maswali mengine ni ya kipuuzi sana. Ni sawa nikuulize ungezaliwa wa kike ungeolewa au ungekuwa msagaji? Hapo unajibu vipi? Yote hayo yanategemea various factors.
Mawaziri Vivuli Chadema unaweza kuwapima kwa utendaji wao kama mawaziri vivuli. Huna haja ya kufanya assumption, wana majukumu yao kama mawaziri vivuli kwa hiyo wapime kwa kutumia utendaji wao na sio assumption.
Karibu.