Hata hao unaowaona weupe ni mikorogo tu bali wote ni weusi..!!Wanajamvii habari za weekend, nitakuwa nadhulumu nafsi nisipowapa sifa wanawake wote weusi kwa kuwa wananivutia sana huwa nahisi ni kutokana na mimi nilivyo ila....
Kwa wachache niliokutana nao walikuwa waaminifu, wakweli, wakipenda wanapenda kweli, washauri wazuri, hawajiskii, hawana tamaa, waelewa, hupenda kukupa lift unapokwama, wivu unaotakiwa, waelewa, wanasubira pia.n.k.
May God bless all black women..
UmeonaeeWe acha tuu, inabidi tuweke kumbukumbu
Ndoma unaogopwaaaaa ha ha haaaKiukweli mbavu toa ndiyo maana nimepiga kambi hapa.
msiishie kupewa sifa tu na sisi tuangalieni sasa tunaowapa sifa mtufikirie.
Tehteh kila kazi lazima iwe na return. Haha sio tunaishia kisifia tu.Ndoma unaogopwaaaaa ha ha haaa
Hukawiii kujitangulizia [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Hao vijana wa kisasa acha kuuliza uliza my ex ohoooSifa ipi hiyo kama ni nzuri niwe mweusi rasmi.
Hapa kamezea tu ila kasema ipo hajaiweka nadoHeaven Sent mie mweusi kwakweli.
Hata mimi nipo kotekote. Siku mkisifia weupe msiache tu kunitag
Naunga mkono hojaAngalia wanawake wote waliosema ni black/weusi humu then chukua image zao wnavyoappear hapa JF. Naomba jibu ubaki nalo kichwani
Manga... kulikoni hautoki kwenye huu uzi?Naunga mkono hoja
Hahaaaa!! Mbona dota!
Ndiyo!But black handsome.Halafu naona hata we ni black [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Kwakweli, hata wekundu tutakuwepo tu.Hata mimi nipo kotekote. Siku mkisifia weupe msiache tu kunitag
Wewe mbona hautoki? Muache ex wangu.Manga... kulikoni hautoki kwenye huu uzi?
Eeh ex wako eeeh!Wewe mbona hautoki? Muache ex wangu.