Hakuna mtani wangu.....hilo joto jingi ulilonalo......litumie kwa manufaa kwa ajili ya kupunguza gharama kama vile kupikia na kuchemshia maziwa...au hujui kubana matumizi....???hahaaaaa... wewe unataka.kunijazia nzi kama asemavyo MO11????
Mtoa post UMEKURUPUKA , Njo MOMBASA NIKUPE BINTI WA KIARABU au mhindi au muitaliano, hubanduki wewe, hapa mgunya,kule m'bajuni ,huku mgoha, hapo kati kuna watoto shombeshombe , thubutuuuu kama utarud
Vipi wewe ni mweusi au mweupe
Hebu niambie.
Honey Faith, hilo jibi limekujaje...?kwani mimi nimekuuliza hivyo...?Mie mweupe peeee kama mzungu
Ngoja nifanye jitigada za Ku prove natafanya sampling kama kumi hivi
Babu eeeeh mabinti Wa Mombasa eka mbali na watoto!
Honey Faith, hilo jibi limekujaje...?kwani mimi nimekuuliza hivyo...?
Ukajisikia na mimi kuniungasha hapo....?Mie nimejibu tu......
Ukajisikia na mimi kuniungasha hapo....?
Mombasa umeenda mbali sana mpeleke Chumbageni akapatikane kwa watoto wa KigunyaMtoa post UMEKURUPUKA , Njo MOMBASA NIKUPE BINTI WA KIARABU au mhindi au muitaliano, hubanduki wewe, hapa mgunya,kule m'bajuni ,huku mgoha, hapo kati kuna watoto shombeshombe , thubutuuuu kama utarud
nafurahi kunikumbuka, karibu....Hahahahahaha