Tee Bag
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 7,220
- 5,626
Aiseee nimewavulia kofia.Kila leo mna utafiti mpya
Ngoja nifanye jitigada za Ku prove natafanya sampling kama kumi hivi
Aiseee nimewavulia kofia.Kila leo mna utafiti mpya
Ngoja nifanye jitigada za Ku prove natafanya sampling kama kumi hivi
Aiseee nimewavulia kofia.Kila leo mna utafiti mpya
Aiseee nimewavulia kofia.Kila leo mna utafiti mpya
Hilo joto linachemshia chai?
mtoa post UMEKURUPUKA , Njo MOMBASA NIKUPE BINTI WA KIARABU au mhindi au muitaliano, , , , hubanduki wewe, hapa mgunya,kule m'bajuni ,huku mgoha, hapo kati kuna watoto shombeshombe , , , , , ,thubutuuuu kama utarud
Nikwel tena watamu sanaaasa sie weusi watamuuu
Unamaisha mazuri maana napenda raha shida sijazoea
we we we! una hakika ndo lengo unalomuitia mombasa kwelii?