Wanawake Weupe Hawana Uzuri Wowote

Wanawake Weupe Hawana Uzuri Wowote

Inategemea NTU na NTU. Acha kabisa kuingilia kazi ya Mwenyezi Mungu.

Sio wote.

Wengi wao wanajiona wazuri kama nini wakati kiukweli wengi wao hamna kitu ni hicho kirangi cha weupe ndo kinawabeba.

Mnajua mnaboa nyie watu!?
 
TUKIWA serious wanawake weupe Wazuri...hata kama rangi inawabeba sawa na hao weusi na maji ya kunde rangi zinawabeba vile vile.

Wadada weupe wananoga bana...ukute Niga black wife mweupe Yani yees unaona kabisa nyumba ina mwanamke ile...UKWELI ni kwamba mtoto wa kike kaumbiwa weupe..tunawapa moyo ma black ili wasijiskie vibaya tu.

Ila once ur a woman and ur skin colour ni nyeupe you have all qualifications za kuitwa mwanamke kamilifu.

Sina ubaya na ma blacks na maji ya kunde ni mchango tu jamani..msje niparamia Nina jazba mwenzenu.
Mama yako ni mweupe?usikute umazaliwa na cheusi mangala halafu unajishaua tu hapa mitandaoni
 
Back
Top Bottom