Wanawake wenzangu mjifunze tofauti ya kupenda na kutamani

Natalia

JF-Expert Member
Jul 3, 2011
4,324
1,892
Mimi mume wangu mzungu yaani watu kwenye Facebook simu na email wananiambia niwatafutie wazungu .hiyo ni tamaa .mzungu anahitaji mwanamke extremely understanding na anayempenda.hakuna kufake Kama mnavyofanya .love is a gift you can honestly give your partner ukitamani bila kupenda utaachwa.
 
Natalia bwana hebu usiwabanie wenzio bana alokwambia wao sio extremely understanding na wanapenda ni nani? We kama unaweza waunganishie madili, wakishindwa ni wao wenyewe. LOL.

Hivi mapenzi ya siku hizi yamekuwaje jamani?
 
Kwani utajuaje kuwa huyu ananipenda ...huyu ananitamani

Indicators gani zitakufanya ugundue tofauti?

Maana haya mambo ni ya moyoni zaidi; na ni ya kiimani.

Inaweza kuwa rahisi kama anayekutamani atakuwa muwazi kwa kutumia maneno yake mwenyewe; mfano kusema 'nataka just one night stand' au tupast time ukipata mtu nakuruhusu uendelee..

Tatizo linakuja kwa asiye kiri kwa mdomo wake; ambao ni wengi; au anayekwambia nakupenda...utajuaje kama ni kweli au anakudanganya?

Mimi mume wangu mzungu yaani watu kwenye Facebook simu na email wananiambia niwatafutie wazungu .hiyo ni tamaa .mzungu anahitaji mwanamke extremely understanding na anayempenda.hakuna kufake Kama mnavyofanya .love is a gift you can honestly give your partner ukitamani bila kupenda utaachwa.
 
be warned!

Usijidai una mzungu kumbe ni wale mateja walokuja huku kwa 'recreation programs'

mtu ana matatoo kama wa maua maua.

Afu mipipi yao ya baridi kama umeingiliwa nyoka, i like them when served hot.

Afu kitu pinkkkkkkkkk
 
Mie niko extremely understanding na najua kuoenda. Hebu nitafutie mzungu basi jamani.
 
be warned!

Usijidai una mzungu kumbe ni wale mateja walokuja huku kwa 'recreation programs'

mtu ana matatoo kama wa maua maua.

Afu mipipi yao ya baridi kama umeingiliwa nyoka, i like them when served hot.

Afu kitu pinkkkkkkkkk

kongosho wewe unapenda mapigo gani kwani ?
 
Natalia is back with a new syle,, wrong live natalia.. To be honest I real miss you during the torment.. Hoping you will drops more amazing threads as you done before....
 
Mimi mume wangu mzungu yaani watu kwenye Facebook simu na email wananiambia niwatafutie wazungu .hiyo ni tamaa .mzungu anahitaji mwanamke extremely understanding na anayempenda.hakuna kufake Kama mnavyofanya .love is a gift you can honestly give your partner ukitamani bila kupenda utaachwa.

Kwani wewe huyo mzungu hukumtamani? Si ulimtamani ndipo ukampenda kutokana na alivyo navyo.
 
be warned!

Usijidai una mzungu kumbe ni wale mateja walokuja huku kwa 'recreation programs'

mtu ana matatoo kama wa maua maua.

Afu mipipi yao ya baridi kama umeingiliwa nyoka, i like them when served hot.

Afu kitu pinkkkkkkkkk
If I see god today I will say "thank god for giving me a husband who loves me like the way god love the church " what about you kongosho what will you say
 
Natalia usiwabanie wenzio watafutie wazungu bana, mambo ya love baadaye.
 
Last edited by a moderator:
nitasema ' asante Mungu kwa kunipa afya ya akili'

akili ikiugua kila litokalo kinywani ni mauza uza.

If I see god today I will say "thank god for giving me a husband who loves me like the way god love the church " what about you kongosho what will you say
 
Back
Top Bottom