Mimi mume wangu mzungu yaani watu kwenye Facebook simu na email wananiambia niwatafutie wazungu .hiyo ni tamaa .mzungu anahitaji mwanamke extremely understanding na anayempenda.hakuna kufake Kama mnavyofanya .love is a gift you can honestly give your partner ukitamani bila kupenda utaachwa.