Bueno
JF-Expert Member
- Aug 16, 2022
- 34,610
- 59,577
Hapo nimekuelewa mkuu, kwa hio wenye vitambi wengine wameshindwa kuviondoa imebidi viendelee kuwepoSio wanawake wote wanaweza kubana matumbo baada ya kujifungua especially wanaojifungua kwa op. So kitambi kipo na kigumu kutoka ndio maana wengine wanaenda kufanya surgery ya kukitoa.
