Chinga boy
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 412
- 101
Usimkufuru muumba hakuna mtu mbaya kaka
Kwa sababu sio rahisi kuhakikishiwa kuwa hutapata kilema basi sio sahihi kuwabeza wengine kwa namna yoyote ile.Kwa hiyo unataka kusema kuwa ukihakikishiwa kutopata kilema chochote kile kwa maisha yako yote yaliyobaki basi ni sahihi kuwabeza wale ambao wana sura mbaya au hata walemavu wengine. Mimi ninaamini sio sahihi kumuita binadamu mwenzio sura mbaya kwa sababu sio sahihi period. Hii mambo ya hujafa hujaumbika haihusiki kabisa hapo.
Btw mimi ukiniita nina sura mbaya wala sijali. Sio ishu kabisa kwangu.