Wanawake wenye kazi wengi wao

Wanawake wenye kazi wengi wao

Mr.creative

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2011
Posts
492
Reaction score
117
hello jf
nimejifunza jambo hili moja kwamba wanawake waliona kazi na waliokwenda shule siyo wife material kwa sababu eti huthamini kazi kuliko waume zao hivyo basi huishia kuachika mapema
je kweli?
 
So usiposoma na usipokuwa na kazi basi wewe ni wife material tayari? Inategemea na akili ya mtu coz kwa mwanamke anayejua kutofautisha majukumu yake ya kikazi na familia basi hatoachika kwa kutokuwa wife material. Na kuna wanawake wengine hawajasoma but wamejiajiri, hawa nao sio wife materials?

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
hello jf
nimejifunza jambo hili moja kwamba wanawake waliona kazi na waliokwenda shule siyo wife material kwa sababu eti huthamini kazi kuliko waume zao hivyo basi huishia kuachika mapema
je kweli?

si kweli..ndoa yangu ina 17yrs. nimesoma (degree) na nnafanya kazi. wanaume punguzeni ubabe. ke anapoonesha anajua haki zake anaonekana jeuri, hafai
 
Hayo mambo hayana cha aliyesoma wala asosoma inategemea tu na tabia ya mtu
 
...and what is the definition of "wife material"?
 
ila asilimia kubwa ya waliosoma ni wasumbufu kweli, weng huwa wanasahau sex and gender roles
 
Back
Top Bottom