FYATU
JF-Expert Member
- Dec 7, 2011
- 5,867
- 5,064
Huo utafiti wako bana, sasa umesema wanatembea kwa maringo ndio maana hawana haraka, ukaja tena kusema wanatembea polepole kuepuka msuguano....which is which ?
Na hilo la fungus inategemea matunzo, ukiwa nayo tafuta ushauri wa jinsi ya kubaki salama....ni sawa na kuwashauri watu wanyoe vipara kwa kuwa eti ukiwa na nywele ndefu utasumbuliwa na mba.
Na hilo la fungus inategemea matunzo, ukiwa nayo tafuta ushauri wa jinsi ya kubaki salama....ni sawa na kuwashauri watu wanyoe vipara kwa kuwa eti ukiwa na nywele ndefu utasumbuliwa na mba.