Wanawake wengine ni mumiani

Wanawake wengine ni mumiani

Mkuu hili huwa nalisikia sana ila sijajua kuna mahusiano gani kati ya kuwa na mwanamke pamoja na fursa nyingine za kimaisha.
 
Wewe Mkuu unaona mbali. Hi I habari sio ngeni. Nimeshapata huh ujumbe Mara kadhaa.

Kwa mujibu wa mzee wangu wa heshma kabsa. Alitupa nasaha kwamba tungepaswa kupima hiki kipimo kabla ya kuamua kuoa.

Kabla hujaingia katika mahusiano unaweza anza na kutafuta haya

mwanamke mwenye nuksi. Ukiwa na nae ukagegeda Pima katika siku,Wiki, mwezi au mwaka. Utajua aina na mwanamke ulienae.

wengine ni nuksi mtindo mmoja. pesa hakuna. Unajikuta hata kula huioni.

Nshakuwa na mwanamke hela zangu kwishnei. nilivyomtema mambo yangu saafi.

Aione mumiani lara1

kwahyo 2we 2natest kwanza mkuu.
 
Haaaaaaaaa haaaaaaahh ni hatare basii wapogo wa vice versa na hiyo...
 
Halafu kuna mademu wengine ukiwagonga tu wanatafuta namba ya mkeo hadi aipate. Akiipata atahakikisha anakunyoa magugumaji kisha anampigia mkeo na kumwambia..... kinyago wako huyo anakuja na kipara ngoto chake.... nimesha mfyeka msitu wake.... mwanamke wa hovyo wewe.... nimekutana na mijoka ya hatari Kwenye msitu wa mumeo

Teh teh teh
 
hata wanaume wapo wa aina hiyo yaani ukiolewwa nae unakufa, wengine wakikuoa kama ni kazi unajikuta unaacha, hela hupati afu cha ajabu yeye anakuwa ana pata baraka lkn wewe hupati.

tena huyu akikuoa hata marafiki unakosa, biashara unashindwa kufanya unabaki kama fenicha tu ndani.

mwanaume mwingine ukitoka nae tu baasi wewe utaanza kupoteza mara simu, mara ugonge gari, mara mikos tuuu yaani ni shida

mie nafkir kuna watu ambao wako na hizi nuksi kabisa katika maisha yao
 
Wewe Mkuu unaona mbali. Hi I habari sio ngeni. Nimeshapata huh ujumbe Mara kadhaa.

Kwa mujibu wa mzee wangu wa heshma kabsa. Alitupa nasaha kwamba tungepaswa kupima hiki kipimo kabla ya kuamua kuoa.

Kabla hujaingia katika mahusiano unaweza anza na kutafuta haya

mwanamke mwenye nuksi. Ukiwa na nae ukagegeda Pima katika siku,Wiki, mwezi au mwaka. Utajua aina na mwanamke ulienae.

wengine ni nuksi mtindo mmoja. pesa hakuna. Unajikuta hata kula huioni.

Nshakuwa na mwanamke hela zangu kwishnei. nilivyomtema mambo yangu saafi.

Aione mumiani lara1

kuna wanaume wa aina hiyo pia tena mtu mwenye nuksi utakuta yeye mambo yake yanaenda vizuri sana ila aya mkewe ndo hayaendi kwasabab mume hutembelea nyota ya mke na mke kutembelea nyota ya mume. Katika mbadilishano huo ukiona kwako mambo ni mazuri basi ujue mkeo ana nyota nzuri na ukiona mkeo mambo yake hayaendi basi ujue wewe mume ndo una gundu kwa mkeo
 
kuna wanaume wa aina hiyo pia tena mtu mwenye nuksi utakuta yeye mambo yake yanaenda vizuri sana ila aya mkewe ndo hayaendi kwasabab mume hutembelea nyota ya mke na mke kutembelea nyota ya mume. Katika mbadilishano huo ukiona kwako mambo ni mazuri basi ujue mkeo ana nyota nzuri na ukiona mkeo mambo yake hayaendi basi ujue wewe mume ndo una gundu kwa mkeo

Imani potofu tu hizo.
 
kuna wanaume wa aina hiyo pia tena mtu mwenye nuksi utakuta yeye mambo yake yanaenda vizuri sana ila aya mkewe ndo hayaendi kwasabab mume hutembelea nyota ya mke na mke kutembelea nyota ya mume. Katika mbadilishano huo ukiona kwako mambo ni mazuri basi ujue mkeo ana nyota nzuri na ukiona mkeo mambo yake hayaendi basi ujue wewe mume ndo una gundu kwa mkeo
kweli Una maono, mafunuo na maunabii makali.
Bado uko Kimara tuje tugonge hard zetu?
 
Back
Top Bottom