gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,272
- 20,714
kweli Una maono, mafunuo na maunabii makali.
Bado uko Kimara tuje tugonge hard zetu?
mie kiluvya sihami miaka 100
kweli Una maono, mafunuo na maunabii makali.
Bado uko Kimara tuje tugonge hard zetu?
Mwanamke ni mlango, eidha wa baraka au laana
Umenikumbusha gazeti la Jitambue(pumzika kwa amani Munga Tehnan) hii mada iliwahi kuandikwa kwa kina ikwa pamoja na shuhuda za watu kuhusu jambo hili. Ukweli ndio huu kila ukimgegeda mwanamke kuna nguvu fulani umechukua kwake naye vilevile.
Mwanamke ni mlango, eidha wa baraka au laana
Mlango wa saba ndio wakoje?Aisee hii ni kweli, wanaitwaga mlango wa nane. Ni hatari, tena unakuta ni wazuri kweli, lakini wana gundu la kufa mtu