lbaraka
JF-Expert Member
- Feb 24, 2014
- 394
- 251
Hahahahahahahah! Leo sichangii chochote apa. Ngojeni tu nichekeHalafu kuna mademu wengine ukiwagonga tu wanatafuta namba ya mkeo hadi aipate. Akiipata atahakikisha anakunyoa magugumaji kisha anampigia mkeo na kumwambia..... kinyago wako huyo anakuja na kipara ngoto chake.... nimesha mfyeka msitu wake.... mwanamke wa hovyo wewe.... nimekutana na mijoka ya hatari Kwenye msitu wa mumeo