Mhh!! Maskini jamani inaumiza sana, watoto washakosa baba, katika vitu namshukuru Mungu kaniwezesha ni Kusamehe kama Biblia inavyosema jua lisizame una uchungu moyoni hilo nazingatia sana siku haipiti na likiwa zito kabisa kabisa kiasi kwamba sina jinsi siku 3 mwisho baada ya hapo ni amani amani hata kama sijaombwa msamaha natangaza mwenyewe na maisha yanasonga mbele .