Wanawake wengi wananikataa, nifanyaje ?

Wanawake wengi wananikataa, nifanyaje ?

Yukwapi

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2024
Posts
480
Reaction score
605
Wasalam Wana JF

Mimi nikijana mwenye umri wa miaka 27 katika harakati zangu zamaisha nimeshakua na mahusiano na wanawake tofauti tofauti na swala la kuchakata lilikua siolakuniumiza kichwa.

Mwanzoni mwa mwaka uliopita nilibadili makazi ya utafutaji na mwanamke niliekua nimemweka kwenye malengo ya kuishinae aliamua kuvunja ahadi nakufwata maisha yake.

Hivi Sasa huku nilipoo swala la uchakataji limekua gumuu Kila napogusaa wananikimbiaa ,maneno mazuri na vielaa siokipaombele Chao ila kiujumla hawaeleweki .

Naombeni ushauri halii imekua ngumu na suluhisho maafisa utamu jambo ambalo sijawahi Fanya kutokana na kuogopa magonjwaa

Naombeni vitu vyakuzingatia
wakati wakuingia tenda na Hawa
 
Miaka 27 bado mdogo kulalamikia mapenzi,hata kwenye ubrothermen bado hujafika...
Jipende wewe kwanza kula pamba kali, nukia vizuri,vuta bangi kidogo halafu kidogo unachopata weka akiba...
Watakupenda wenyewe na utahonga kidogo sana
 
Hii ya kusema tafuta hela wanawake watakuja nayo ni uongo, hata hao wenye hela tunaona wakikataliwa, pia vijana wengi tu mjini hawana maisha yoyote tunawaona wanakula pisi kali, changamoto yako mtoa mada inawezekana ni nyingine kabisa
 
Back
Top Bottom