Wanawake wengi wananikataa, nifanyaje ?

Wanawake wengi wananikataa, nifanyaje ?

Wasalam Wana JF

Mimi nikijana mwenye umri wa miaka 27 katika harakati zangu zamaisha nimeshakua na mahusiano na wanawake tofauti tofauti na swala la kuchakata lilikua siolakuniumiza kichwa.

Mwanzoni mwa mwaka uliopita nilibadili makazi ya utafutaji na mwanamke niliekua nimemweka kwenye malengo ya kuishinae aliamua kuvunja ahadi nakufwata maisha yake.

Hivi Sasa huku nilipoo swala la uchakataji limekua gumuu Kila napogusaa wananikimbiaa ,maneno mazuri na vielaa siokipaombele Chao ila kiujumla hawaeleweki .

Naombeni ushauri halii imekua ngumu na suluhisho maafisa utamu jambo ambalo sijawahi Fanya kutokana na kuogopa magonjwaa

Naombeni vitu vyakuzingatia
wakati wakuingia tenda na Hawa
Punguza ubahili
 
Wasalam Wana JF

Mimi nikijana mwenye umri wa miaka 27 katika harakati zangu zamaisha nimeshakua na mahusiano na wanawake tofauti tofauti na swala la kuchakata lilikua siolakuniumiza kichwa.

Mwanzoni mwa mwaka uliopita nilibadili makazi ya utafutaji na mwanamke niliekua nimemweka kwenye malengo ya kuishinae aliamua kuvunja ahadi nakufwata maisha yake.

Hivi Sasa huku nilipoo swala la uchakataji limekua gumuu Kila napogusaa wananikimbiaa ,maneno mazuri na vielaa siokipaombele Chao ila kiujumla hawaeleweki .

Naombeni ushauri halii imekua ngumu na suluhisho maafisa utamu jambo ambalo sijawahi Fanya kutokana na kuogopa magonjwaa

Naombeni vitu vyakuzingatia
wakati wakuingia tenda na Hawa
BE A MAN .
 
Wasalam Wana JF

Mimi nikijana mwenye umri wa miaka 27 katika harakati zangu zamaisha nimeshakua na mahusiano na wanawake tofauti tofauti na swala la kuchakata lilikua siolakuniumiza kichwa.

Mwanzoni mwa mwaka uliopita nilibadili makazi ya utafutaji na mwanamke niliekua nimemweka kwenye malengo ya kuishinae aliamua kuvunja ahadi nakufwata maisha yake.

Hivi Sasa huku nilipoo swala la uchakataji limekua gumuu Kila napogusaa wananikimbiaa ,maneno mazuri na vielaa siokipaombele Chao ila kiujumla hawaeleweki .

Naombeni ushauri halii imekua ngumu na suluhisho maafisa utamu jambo ambalo sijawahi Fanya kutokana na kuogopa magonjwaa

Naombeni vitu vyakuzingatia
wakati wakuingia tenda na Hawa
Ingis CCM au kuwa tapeli
 
Wasalam Wana JF

Mimi nikijana mwenye umri wa miaka 27 katika harakati zangu zamaisha nimeshakua na mahusiano na wanawake tofauti tofauti na swala la kuchakata lilikua siolakuniumiza kichwa.

Mwanzoni mwa mwaka uliopita nilibadili makazi ya utafutaji na mwanamke niliekua nimemweka kwenye malengo ya kuishinae aliamua kuvunja ahadi nakufwata maisha yake.

Hivi Sasa huku nilipoo swala la uchakataji limekua gumuu Kila napogusaa wananikimbiaa ,maneno mazuri na vielaa siokipaombele Chao ila kiujumla hawaeleweki .

Naombeni ushauri halii imekua ngumu na suluhisho maafisa utamu jambo ambalo sijawahi Fanya kutokana na kuogopa magonjwaa

Naombeni vitu vyakuzingatia
wakati wakuingia tenda na Hawa
Kaoge katikati ya bahar ya hindi utoe gundu hilo😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom