Wanawake wengi wa mijini 16-28 yrs MCHARUKO sana

Nimeona bora niongelee ya wanawake hapa mmu, maana next year naoa, kuliko niongelee siasa njaa za kina kinda Nape, hapa naburudika sana, jukwaa la siasa napitaga siku hizi, Ni hivi kisukari siwaonei wanawake 16 -28 yrs wengi hasa hasa DAR mcharuko saaana tena wakikujua wengine wanakutongpza / wanajirahisisha kutakavmshiko tu, one woman wanaume kibao, najua huamini, hata wanafunzi wa vyuo wako hivyo hivyo 1 woman for many many men, mcharuko tu, kupanua miguu juuuu each time, maje a visit here ni Dar, ujue, stay a month angalia, halafu kisukari, Maria Roza ndiye mke wangu mtarajiwa umemwona? maana nimemzuia asiwe anahudhuria sana jukwaa la wakubwa, kapotea huyu mchumba

Nashawishika, kulingana na maelezo yako, kusema.. 16-28 ladies WAMEKUCHAKACHUA... huwez kullia namna hii mdau..:redface:
 
In short, ni kua morally, regardless of our genders, wote tumeshuka sana maadili. Sitaki kuchukua sides, ila hao wanawake wa hiyo age group uliyosema, si wanafanya na wanaume, - kwasababu ya materials? Kwa hiyo pande zote ziko corrupt. Tamaa ni kweli zimezidi, lakini kikubwa ni umaskini wa materials na maadili. Tujitahidi kulea watoto kwa kuwapa miongozo ya kujithamini, wasione miili yao kua ni vyanzo vya ku - generate kipato.
 
Mm nimechoka kutongoza miezi 6 wanawake 6,yaan hatusetle kabisa sijui nn ,wanamind mshiko sana huyu wa sasa nliye naye tumekubaliana iwe Open relationship!mabinti hizo njaa zitawaua ,hamuoni uchumi wa kikwete ulivyopinda
 
Back
Top Bottom